Ukifumaniwa unategua (sex) mtoto wa mtu haya ndo malipo yako, unafungishwa ndoa ya mkeka, faini kubwa au wakura

Ukifumaniwa unategua (sex) mtoto wa mtu haya ndo malipo yako, unafungishwa ndoa ya mkeka, faini kubwa au wakura

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Wanajamvi Kila jamii Ina utaratibu wake wa ku deal ama ku-solve maswala yake.

Katika pitapita zangu za hapa na pale nikafika Kijiji kimoja Kipo mkoa wa Tanga mpakani na Gairo morogoro.

Wenyeji wa hapo waliniambia sisi binti akimaliza darasa la Saba nakuchezwa (yaani anafundishwa mapenzi)kama wafanyavyo wazaramo.

Sasa ikitokea ukamshawishi na akakubali ukamtegua (Kufanya nae mapenzi)

Wenyeji wakikubamba hapo hapo utaambiwa uchague jambo kati ya Mambo 3.

*Wakufungishe ndo ya mkeka
*Ulipe faini kubwa
*Wakufirimbe(wakurawiti)


Hii inaenda kwa mabinti Hadi Kwa single Maza asee yaani single Maza anaulizwa vipi huyu anakuchezea tu ama ana malengo na ww akisema huyu anapiga na kusepa wanakuchoresha na una nasa. Ni mambo matatu tu na uchague Moja wapo!

Mdau utachagua lipi kati ya hayo matatu?
FB_IMG_1729675746577.jpg
 
Mi nusu nifanyie huo mchezo..
Wale mbwa walijipanga kweli kweli ..
Ukizingatia napokaa nipo man alone sina ndgu wala nini...

Ila wamama wa mtaani hapa na dada zangu wa hiyali walinipambania aiseee nikatoka salama..

Mtaani huku ishi na watu vzr jamni mi hata sikutegemea an kama tachomoka...

Dada aisha ulijua kunitetea aiseeeee 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌
 
Mi nusu nifanyie huo mchezo..
Wale mbwa walijipanga kweli kweli ..
Ukizingatia napokaa nipo man alone sina ndgu wala nini...

Ila wamama wa mtaani hapa na dada zangu wa hiyali walinipambania aiseee nikatoka salama..

Mtaani huku ishi na watu vzr jamni mi hata sikutegemea an kama tachomoka...

Dada aisha ulijua kunitetea aiseeeee 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌 🙌
Kwahiyo mambo matatu ukayaepuka yote mkuu?
 
Wanajamvi Kila jamii Ina utaratibu wake wa ku deal ama ku-solve maswala yake.

Katika pitapita zangu za hapa na pale nikafika Kijiji kimoja Kipo mkoa wa Tanga mpakani na Gairo morogoro.

Wenyeji wa hapo waliniambia sisi binti akimaliza darasa la Saba nakuchezwa (yaani anafundishwa mapenzi)kama wafanyavyo wazaramo.

Sasa ikitokea ukamshawishi na akakubali ukamtegua (Kufanya nae mapenzi)

Wenyeji wakikubamba hapo hapo utaambiwa uchague jambo kati ya Mambo 3.

*Wakufungishe ndo ya mkeka
*Ulipe faini kubwa
*Wakufirimbe(wakurawiti)


Hii inaenda kwa mabinti Hadi Kwa single Maza asee yaani single Maza anaulizwa vipi huyu anakuchezea tu ama ana malengo na ww akisema huyu anapiga na kusepa wanakuchoresha na una nasa. Ni mambo matatu tu na uchague Moja wapo!

Mdau utachagua lipi kati ya hayo matatu?
View attachment 3157483

Unakubali mkeka ndoa halafu unahama Mji!!!??????
 
Binti akishafika miaka 18 na siyo mwanafunzi wala mke wa mtu nikulipe faini ya nini? Faini sikulipi, kumuoa simuoi na hakuna kitu utafanya labda ukaniloge
 
Back
Top Bottom