Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Wanajamvi Kila jamii Ina utaratibu wake wa ku deal ama ku-solve maswala yake.
Katika pitapita zangu za hapa na pale nikafika Kijiji kimoja Kipo mkoa wa Tanga mpakani na Gairo morogoro.
Wenyeji wa hapo waliniambia sisi binti akimaliza darasa la Saba nakuchezwa (yaani anafundishwa mapenzi)kama wafanyavyo wazaramo.
Sasa ikitokea ukamshawishi na akakubali ukamtegua (Kufanya nae mapenzi)
Wenyeji wakikubamba hapo hapo utaambiwa uchague jambo kati ya Mambo 3.
*Wakufungishe ndo ya mkeka
*Ulipe faini kubwa
*Wakufirimbe(wakurawiti)
Hii inaenda kwa mabinti Hadi Kwa single Maza asee yaani single Maza anaulizwa vipi huyu anakuchezea tu ama ana malengo na ww akisema huyu anapiga na kusepa wanakuchoresha na una nasa. Ni mambo matatu tu na uchague Moja wapo!
Mdau utachagua lipi kati ya hayo matatu?
Katika pitapita zangu za hapa na pale nikafika Kijiji kimoja Kipo mkoa wa Tanga mpakani na Gairo morogoro.
Wenyeji wa hapo waliniambia sisi binti akimaliza darasa la Saba nakuchezwa (yaani anafundishwa mapenzi)kama wafanyavyo wazaramo.
Sasa ikitokea ukamshawishi na akakubali ukamtegua (Kufanya nae mapenzi)
Wenyeji wakikubamba hapo hapo utaambiwa uchague jambo kati ya Mambo 3.
*Wakufungishe ndo ya mkeka
*Ulipe faini kubwa
*Wakufirimbe(wakurawiti)
Hii inaenda kwa mabinti Hadi Kwa single Maza asee yaani single Maza anaulizwa vipi huyu anakuchezea tu ama ana malengo na ww akisema huyu anapiga na kusepa wanakuchoresha na una nasa. Ni mambo matatu tu na uchague Moja wapo!
Mdau utachagua lipi kati ya hayo matatu?