Ukifumaniwa unategua (sex) mtoto wa mtu haya ndo malipo yako, unafungishwa ndoa ya mkeka, faini kubwa au wakura

Nilikuwa na wife wakasema Yani sisi Huwa hatujari una mke au huna kufirimbwa ni mhimu kama utaghaili hayo mawili πŸ˜‚
Hapo la kuepuka ni kulipa fain na ndoa..
Hilo la kufilimbwa ulembe... Ili wafanye hiko kitu wahakikishe wamenikata shingo kwanza..

Kiufupi mkuu yote niliepuka an kutokana na utetezi wa majirani hapa
Kina dada aisha
e
 
Binti akishafika miaka 18 na siyo mwanafunzi wala mke wa mtu nikulipe faini ya nini? Faini sikulipi, kumuoa simuoi na hakuna kitu utafanya labda ukaniloge
ndio unalogwa
 
Akina dada wa hiyari uwa ni aina Fulani ya marafiki wa kweli tusioweza kuwataja ila ukweli ni kuwa uwa Wana msaada sana
 
Hiyo mikoa ambayo hadi vijana wamelegea kama mlenda ndo wanafanyiwa huo UJINGA,...huku kwetu, kama sio mwanafunzi, mtoto wala mke wa mtu...hata muje Kijiji kizima eti kuja huo utumbo wenu tajwa hapo juu, kijana ana haki ya kuwapiga mapanga washenzi nyinyi.... NDOA HAILAZIMISHWI
 
Hizo mila ukanda wa pwani zimefanana na si wazaramo tu, ila zama hizi zimepungua nguvu, wahuni wanafumua hadi tope na hamna kitu wanafanya
 
Kila jamii na namna yake. Hata kwetu haipo hiyo labda uyatimbe Kwa mke wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…