Ukifumaniwa unategua (sex) mtoto wa mtu haya ndo malipo yako, unafungishwa ndoa ya mkeka, faini kubwa au wakura

aisee mbona paper ngumu halafu ni multiple choice tupu
 
Au namuoa nampangishia chumba namlipia kodi miezi mitatu nalala siku mbili ya tatu naaga naenda kazini alafu sirudi tena
Sawa lkn muda huo mahali umetoka japo hata 2000tu wanapokea hata ukiwa huna Kuna jemba itajitolea ikutolee Ili mradi ndoa ifungwe.

Hata ukienda mazima hutakaa urudie huo mchezo utakuwa umejifunza
 
Akina dada wa hiyari uwa ni aina Fulani ya marafiki wa kweli tusioweza kuwataja ila ukweli ni kuwa uwa Wana msaada sana
Sana mkuu..
Mi hapa nilipofika nilikua napita sana kwenye ofisi yake kusalimia nikajikuta nazoeana nae mpaka leo hii..

Ile siku yeye ndo alisimamia kila kitu mpaka watu wakajua mimi ni ndgu yake wa damu,,, kumbe walaaa
 
half ugegedwe mkuu,pole na wanaume wa ukweli hatunyoi nywele mnyeoni .... ungepachikwa kijinga navuta picha mliowake ungeutoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…