Hata wewe hukunitonya wakati gari la mapenzi limekolea[emoji38][emoji38][emoji38]Best hukunitonya mapema, uzuri nilikuwa na observe tu, hafu wanapenda kweli watu wa kabila letu bana na huwa wanatesa vibaya ndoa nyingi za Hawa watu huwa ni shiida huishia tu kwa talaka na machungu.
Hii jamii sio wanawake wanaume ni shida tupu hasa tabia ya wanaume kulelewa ni sugu I'm glad sikuingia mazima maana alitaka quick marriage ningekuwa mhanga wa kuteswa hisia na kiuchumi wallah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilijua nimepata kumbe nimepatikana haki nilijua yeye ni watofauti haki wanasingiziwa maweee yaliyotaka kunikuta Mungu anajua yaniHata wewe hukunitonya wakati gari la mapenzi limekolea[emoji38][emoji38][emoji38]
Kimsingi hili kabila waoane wao kwa wao.
Na wanawake hawajui kukataa dyudyu walah
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mmasai mwenye Akili Ni lowasa TU, Hawa wengine Ni miyeyusho
Wengine wote walinda mageti[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nimecheka sana, we jamaa wamasai watapandisha MORI ohooooo!Wengine wote walinda mageti
Hahahahahah niliposoma neno sio responsible utalea mwenyewe nikajua lazma binti wa kibongo ungejiengua tu😅Ni difficult people na hupenda kununa nuna pia sio responsible kivile ukiwa naye ujue utalea familia mwenyewe
[emoji23][emoji23] naachaje kujiengue lazima ukutane na partner msaidiane maisha Sasa yeye ha contribute chochote huko sikujitaftia majanga aisee, na bado ana watoto hujazaa wako hapo lazima uwe kichaa na umaskini ubishe hodiHahahahahah niliposoma neno sio responsible utalea mwenyewe nikajua lazma binti wa kibongo ungejiengua tu[emoji28]
Anakupa watoto wake na wako ulee 😅!![emoji23][emoji23] naachaje kujiengue lazima ukutane na partner msaidiane maisha Sasa yeye ha contribute chochote huko sikujitaftia majanga aisee, na bado ana watoto hujazaa wako hapo lazima uwe kichaa na umaskini ubishe hodi
Umeambulia kile kisalio chini ya kichwa kile tu eee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilijua nimepata kumbe nimepatikana haki nilijua yeye ni watofauti haki wanasingiziwa maweee yaliyotaka kunikuta Mungu anajua yani
Hapo kutokuwa responsible naunga mkono hoja kwakweli.Ni difficult people na hupenda kununa nuna pia sio responsible kivile ukiwa naye ujue utalea familia mwenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeambulia kile kisalio chini ya kichwa kile tu eee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseee. Kumbe visimi vinafyekwa? Huu ni ukatili. Kwanini wanafyeka visimi kama nyasi? Sio poa kabisa.Umwache uende wapi wakati utamu huujui kisimi kimefyekwa,wamwona yeye tu.Wanambinu sana hawa jamaa
wanawake jeNimekuwa na mumasai na tumeachana, na wanaume wa kimasai hawadumu na wake labda kabila lake
Ha ha haaAiseee. Kumbe visimi vinafyekwa? Huu ni ukatili. Kwanini wanafyeka visimi kama nyasi? Sio poa kabisa.
Labda mniambie wamasai hawachukuliagi mahusiano ya kimapenzii kwa umuhimu ukilinganishwa na sisiOyaa punguza maswali wewe jua TU hawaachi , kwenye kikao tulikubaliana hivyo
Kumbe kununa ni kawaida yao [emoji16][emoji16][emoji16]Ni difficult people na hupenda kununa nuna pia sio responsible kivile ukiwa naye ujue utalea familia mwenyewe
Mmmh duuhBest hukunitonya mapema, uzuri nilikuwa na observe tu, hafu wanapenda kweli watu wa kabila letu bana na huwa wanatesa vibaya ndoa nyingi za Hawa watu huwa ni shiida huishia tu kwa talaka na machungu.
Hii jamii sio wanawake wanaume ni shida tupu hasa tabia ya wanaume kulelewa ni sugu I'm glad sikuingia mazima maana alitaka quick marriage ningekuwa mhanga wa kuteswa hisia na kiuchumi wallah