Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Mbona mimi nimeachana na mwanamke mmasai juzi tu!Wamasai, hii ndio jamii pekee ambayo ukiingia nayo kwenye mahusiano ya kimapenzi, haina historia ya kuvunja mahusiano
Kwa mmasai ni kufa na kuzikana
Wewe ni masai au mmeru?Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Hawafi sababu hawana mwili wa damu na nyama? Hawakuzaliwa na mwanamke?. Pointless please toa sababu nyingine 🤪Kwa sababu hawafi.
Usipende kutafuniwa kila kitu google ipo Kusolve Mambo madogo madogo kama haya!Hawafi sababu hawana mwili wa damu na nyama? Hawakuzaliwa na mwanamke?. Pointless please toa sababu nyingine 🤪
HahahahahNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
[emoji23][emoji23]nimeyahifadhiHayo mayai unafanyia kitu gani aisee
Make sure hayawi vizza[emoji23][emoji23]nimeyahifadhi
Picha ya nn nawe ushamba huuNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Masai gan Ana roh mbayaWamasai wanaroho mbaya sana
Hayawezi mkuuMake sure hayawi vizza
Kuna mwanamke mmoja mkenya, alikuwa mwalimu wa private school, aisee nilikuwa natembeanae then nikaja nikampiga chini, tulikuwa Ni majirani somewhere, ye ana mume, mi pia nilikuwa na nyumba ndogo nimeipangia maeneo hayo,Wamasai, hii ndio jamii pekee ambayo ukiingia nayo kwenye mahusiano ya kimapenzi, haina historia ya kuvunja mahusiano
Kwa mmasai ni kufa na kuzikana
Ona hili boya nalo!Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
..Kwa hiyo Una uzoefu ya Yale manyama Yao yanayobaki chini ya jiti wanapotahiriwa na vizu...naskia ndio mana mademu huwapenda..wanapopigwa dabali dudu na lile salio la nyama...Nimekuwa na mumasai na tumeachana, na wanaume wa kimasai hawadumu na wake labda kabila lake
[emoji23][emoji23][emoji23] sikufanya Naye kitu mkuu, so hyo kitu siijui..Kwa hiyo Una uzoefu ya Yale manyama Yao yanayobaki chini ya jiti wanapotahiriwa na vizu...naskia ndio mana mademu huwapenda..wanapopigwa dabali dudu na lile salio la nyama...
Member since oct 2021 No wonder!!Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Kwa kwelii nimekiona kisirani chaoChukua hatua loh