Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
😂 kama masikhara hivi jibu jepesi ambalo linamuachia dogo maumivu mazito. Hapo juu kuna member anakwambia halafu baada ya bro kufariki unakuta shemeji anaanza kulalamika mnamtenga.Kinachouzi umefanya uchunguzi umegundua mke ndio mpumbavu unakubaliana na hali
Unamwambia " Aisee dogo fanya tu mwisho wa mwezi huu nenda home shemeji yako hakutaki "
Halafu ni mdogo wako wa mwisho huyo tumbo moja kamaliza chuo kasema ngoja niondoke kijijini niende kwa Braza niangalie channel zinaendaje na mimi nitoke
[emoji1][emoji1] mambo wanatengeneza wao halafu wanakuja kulalamika wanatengwa[emoji23] kama masikhara hivi jibu jepesi ambalo linamuachia dogo maumivu mazito. Hapo juu kuna member anakwambia halafu baada ya bro kufariki unakuta shemeji anaanza kulalamika mnamtenga.
Mkuu hapa anazungumziwa mgeni ambaye ameenda kuangalia life linaendaje eneo hilo sio mgeni ambaye ameenda mapumziko ya kikazi 😂.Usiwe mtu wa kushinda nyumbani masaa 24 huku ukitazama tamthilia katika runinga.
Hakikisha unawahi kutoka asubuhi na kurudi jioni ratiba yako ya chakula iwe dinner tu, lunch na breakfast kapambanie huko mtaani.
Pia katika hustle zako kwa chochote unachopata kumbuka kubeba hata kilo tano za mchele, matunda hata nyama kilo tatu peleka home.
Na hakika hutochokwa na mambo yatajipa tu.
Hili ni kosa. Ndo hapo nnaposema mwanaume unahitaji hekima kudeal na mambo ya nyumbani kwako. Kama umeona kosa lazma uchunguze shida iko wapi na udeal nayo kiume. Kama n mke wako, deal nae maana hajakupanda kichwani, vivyo hivuo kwa mdogo wako.Kinachouzi umefanya uchunguzi umegundua mke ndio mpumbavu unakubaliana na hali
Unamwambia " Aisee dogo fanya tu mwisho wa mwezi huu nenda home shemeji yako hakutaki "
Halafu ni mdogo wako wa mwisho huyo tumbo moja kamaliza chuo kasema ngoja niondoke kijijini niende kwa Braza niangalie channel zinaendaje na mimi nitoke
Hapa nakuelewa. I think watu wengi hawajaelewA msimamo wangu. Simaanishi kwamba mke afanye anachotaka kwenye mji, hapana! Issue yangu ni kwamba, ndani kuna utaratibu na huo utaratibu utatakiwa ufuatwe. Na pia haimaanishi mke anapokosea asionywe, la hasha hata yeye rungu linamkuta.Bangida mkuu angalia kama hii issue ya ndugu yake sister hapa, unaona wazi kabisa mgeni kaanza kutaftiwa sababu siku ya kwanza, unaweza tabiri huko mbeleni ni nini kitatokea.
Mwanaume inatakiwa uwe neutral. Sasa kama ulishamuonyesha mwanamke kama huyo umempa thamani zaidi kuliko ndugu utajikuta unachezea za uso.
NB: utanisamehe Joannah kwa kumtumia sis wako kama mfano mbaya.
Hapana usijali, mimi mwenyewe sikupendezwa na vitendo alivyonisimulia Mimi nimemsaidia kuona aibu.ni tabia mbaya kwa kweli Mambo madogo yanaanzaga hivihivi mwishowe bifu kaliBangida mkuu angalia kama hii issue ya ndugu yake sister hapa, unaona wazi kabisa mgeni kaanza kutaftiwa sababu siku ya kwanza, unaweza tabiri huko mbeleni ni nini kitatokea.
Mwanaume inatakiwa uwe neutral. Sasa kama ulishamuonyesha mwanamke kama huyo umempa thamani zaidi kuliko ndugu utajikuta unachezea za uso.
NB: utanisamehe Joannah kwa kumtumia sis wako kama mfano mbaya.
Hapa tumeelewana chief na hiyo ndio concern yangu usiwepo upande ambao umejihesabia haki. Mpaka/utaratibu ni muhimu kwenye hii case, Mme asimame kama mme na kiongozi wa familia, Mke asimame kama mke na mtekelezaji wa miongozo toka kwa mme hivyo hivyo mgeni asimame kama mgeni na afuate taratibu za wenyeji.Hapa nakuelewa. I think watu wengi hawajaelewA msimamo wangu. Simaanishi kwamba mke afanye anachotaka kwenye mji, hapana! Issue yangu ni kwamba, ndani kuna utaratibu na huo utaratibu utatakiwa ufuatwe. Na pia haimaanishi mke anapokosea asionywe, la hasha hata yeye rungu linamkuta.
What im saying ni kua, nyumba haitakiwi kuendeshwa kwa madharau from pande zote. Ukiona wawili wanshindwana ni jukumu lako kama mwanume kufanya ucchunguzi na kudeal logically na tatizo lililopo. Kama ni mke, akutane na vyake, kama ni ndugu na yeye pia.
Ninachiendelea kukataa ni madharau.!
Na pia ndugu, kama umeamua kuoa lazma umemchunguza mwenza wako na mapungufu yake unayajua, na kama umekubali kuendana nayo sidhani kama unashindwa kudeal nayo
Yeye kwa madai yake ndugu za mumewe pale hawamthamini wanamchukulia Kama Kaka Yao ndio kila kitu na yeye Ni nothing,Sasa anadai atapambana nao bega kwa bega wapunguze Uhuru,eti Uhuru umezidi..huyo mgeni eti alivyofika siku mbili tatu akaenda kwenye shoe rank akaanza kuchafua viatu vya braza akajichagulie,,,Sasa bibie kamaindTatizo la Wanawake wanapoolewa wanahisi kuwa wao ndio wamemzaa huyo mume na siku mume akifariki wanataka na hao ndugu wa mume kusaidiwa malezi ya watoto. Hakika watoto wa mitaani hawatoisha katika jamii kwani matendo ya Wanawake husababisha visasi baadae.
Yaani Kuna vitu vina ukakasi.Madam anachoyo kizito sana
Hakika tuko pamoja na uendelee kumrekebisha anavyokosea na kumpongeza anavyopatia.Hapana usijali, mimi mwenyewe sikupendezwa na vitendo alivyonisimulia Mimi nimemsaidia kuona aibu.ni tabia mbaya kwa kweli Mambo madogo yanaanzaga hivihivi mwishowe bifu kali
Daah kweli hatari sasa dogo anachukua viatu vya Braza na Braza wala hana noma ha mind wala nini sasa shida iko wapi hapoYeye kwa madai yake ndugu za mumewe pale hawamthamini wanamchukulia Kama Kaka Yao ndio kila kitu na yeye Ni nothing,Sasa anadai atapambana nao bega kwa bega wapunguze Uhuru,eti Uhuru umezidi..huyo mgeni eti alivyofika siku mbili tatu akaenda kwenye shoe rank akaanza kuchafua viatu vya braza akajichagulie,,,Sasa bibie kamaind
Naam naam naaam. Hii ndo sawa.Hapa tumeelewana chief na hiyo ndio concern yangu usiwepo upande ambao umejihesabia haki. Mpaka/utaratibu ni muhimu kwenye hii case, Mme asimame kama mme na kiongozi wa familia, Mke asimame kama mke na mtekelezaji wa miongozo toka kwa mme hivyo hivyo mgeni asimame kama mgeni na afuate taratibu za wenyeji.
Mkuu kwa hii comment utakua na roho mbaya sana, mchoyo na mkatili.Haya yote mnayasema tu! Matoto ya siku hizi ni kama majinga fulani hivi! Hayawezi kujituma tena yanataka yaishi kama yalivyokuwa yanaishi kijijini! Hizo ni ng'ombe zikae huko huko kijijini!
Hapa mada inaongelea kama mtu anatafuta maisha na hana njia nyingine zaidi ya kuishi au kufikia kwa ndugu. Unafikiri kuna anaependa kukaa kwa ndugu?Toka niko Advance niliapa sitokuja kuishi kwa jamaa/ndugu mara zote nikiwa safarini ninafikia hotel hata kama nipo mkoa wenye ndugu ninaenda kuwasalimu tu na kuondoka.
Maana familia nyingi za kibongo hazina utaratibu mzuri mgeni na heshima zako watakulalisha na watoto vikojozi, utasimangwa kwenye chakula n.k
Hapo kwa kina Junior ndio penyewe na pagumu sana. Junia anaweza kukulamba kofi bila sababu halafu unajikuta unapaniki na kumpa 👊 ya kichwa!Kuishi kwa ndugu, mambo ya kufanya
1. Siku zote amka mapema na ufanye shughuli za kimsaada kwenye mji huo, kwa mfano kufagia, kusafisha mabanda ya kuku n.k. wjatever it is, lakini asubuh na mapema ikukute nje.
2. Jitahidi kutoka nje na kuzunguka kitaa ukitafta mishe ndogo ndogo za kukupa vijisenti ili usipauke kisoro
3. Usiwe na mazoea yaliyopitiliza hasahasa Kwa shemeji au wifi yako. Kaa kwa step wacha kiherehere
4. Ukipata chochote huko duniani, kamwe usirudi mikono mitupu, hata ndizi za buku zinaeza sindikiza wali maharagwe hapo ndani. Always provide some input kuwapunguzia mzigo.
5. Kuwa msafi, kuwa msafi kuwa msafi!
6. Fuata sheria zao, kwa mfano kuwahi kurudi, kusali n.k. kama una sheria zako kazipeleke kwenu, hapo ni kwa watu, wacha kisebengo cha kupanga masharti.
7. Hakikisha wale watoto kina "junia" hawakuzoei, wale wana mambo ya kiwaki unaweza mkata kelebu akatema meno. Jiepushe nao
8. Beki 3 ana mbolea iliopitiliza, ukipanda mbegu nakuapia lazma izae matunda. Mkwepe!
9. Kuwa mstaarabu
Ukiona watu wengi wanalalamikia wageni ujuwe wapo maeneo ambayo hayazalishi vyakula. Ni ngumu kusikia mtu wa Mwanza,Mbeya,Moro au Iringa analalamika.Mambo ya kusemana vyakula ni umaskini tu, usukumani kwetu njoo utakunywa maziwa yakutosha utakula nyama zakutosha utakula wali wa kutosha alaf hakuna anae jali. Ukiwa unaondoka unapimiwa na debe kadhaa za mpunga. Ujanja ujanja ndio kitu pekee hatutaki baki nao huko huko kwenu