Ukikutana na Engineer yeyote hana kazi, mchongo wala ramani yoyote ya maisha tafadhali mpige makofi

unajua ni kwanini iliwezekana kujenga hayo madaraja na barabara zinazokushangaza !?
Yes ni kwasababu walikua na resources zote zinazohitajika ili kukamilisha mradi husika . haya ilete hiyo kampuni kubwa inyime resources zinazotakiwa ili kufanikisha mradi husika then mwambie afanye huo mradi kama atafanikisha .
kwahiyo bwana mdogo sio kwamba engineers hawana ideas,lakini je resources za kuleta hiyo idea into reality zipo!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhah mama,hadi umepiga picha halafu ni basic math tena “C” ,nilidhani C ya advanced math kumbe Basic poor you,usiwanange sasa maengineer bongo
Umeona ulivyo mjinga hujui hata kusoma, hiyo ni Basic mathematics???? Hebu soma tena
 
Una uhakika gani kuwa nilifeli hesabu? Kwa taarifa yako hesabu hazikuwahi kunishinda na Advance nilisoma PURE MATHEMATICS kama mbadala wa BAM, siku nyingine uwe na adabu mkuu.

Watu waliosoma Advanced math hawana mawazo finyu kama yako hayo,nawasiwasi hata kama a level ulisoma hesabu
 
Kati ya watu wanaofikiria kwa kutumia mattercall mtoa uzi ni mmojawapo!!
 
Watu waliosoma Advanced math hawana mawazo finyu kama yako hayo,nawasiwasi hata kama a level ulisoma hesabu
Nimeanza kuamini inawezekana kweli kuna ma ingineer wa mwendokasi
 
Kati ya watu wanaofikiria mattercall mtoa uzi ni mmojawapo!!
Sawa mr engineer ahsante kwa mchango wako ila nikikutana na wewe rejea kichwa cha habari
 
Mkuu nakuunga mkono, Engineer kukosa kazi ni uzembe wa hali ya juu maana mazingira yetu ya kiafrika bado fursa za Kihandisi ziko nyingi sana.
Vijana wengi wanakosa ubunifu wa kuanzisha jambo jipya,
Engineer kukosa pesa ni uzembe na upumbavu mkubwa sana maana akitumia knowledge kwa 20% atafanikiwa tu.
 
Ok sawa mkuu ahsante kwa mchango wako kiufupi hii mada ipo nje ya uwezo wako.

Ahsante?


Ila usiwaonee wivu maengineer kwasababu kichwa chako hakikufit kuchukua hiyo course,swala la kuwadharau watu kisa unaweza kupata chai na chakula cha mchana hapo kwa shemeji yako sio vizuri.Changamoto za nchi yetu na uchumi vinajulikana
 
Mkuu hongera sana, angalau wewe umetufungua akili kidogo wengine walikuwa wana react tu hawajibu chochote kwa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…