Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

Mkuu ungetuliza wenge tu.... wee ungekamatwa na begi lenye mapanga ungeozea jera wallah
 
Ungemkata dhakar kisha um...[emoji83][emoji83]
 
Nilishuhudia dogo mmoja wanamfunga mdogo wake kwenye bomba la gari la kutolea moshi (exhaust) mwenye gari akawa anapiga resi...wakahakikisha moshi unaingia ipasavyo...baada ya hapo wakamuacha..unajua nini kilitokea?..
Nini kilitokea?
 
Unapigana na watoto, kwan we ni mtoto [emoji23][emoji23]....ingefaa huyo dogo akupeleke kwa wakubwa zake uwacharange mapanga vizur [emoji1][emoji1]

Dada angu kuna ubaya mtu akijitetea.
 
Tuvidole tu, ungekata mkono kabisa, kata ulimi, toa jicho moja, unakata kende moja.. Unaenda kumtundika maskani kwao.
 
Shekhe hata dini inasema hivyo ,road side robbers wauwawe na maiti zao zitundikwe sokon kila mtu azione ,huyo kakosea kumuacha hai

Kuuawa tena, hapana ukhti,,uislamu sidhani kama unaruhusu hivyo,,mtu ameiba halafu umuuwe kweli!!! Wengine wanapigwa kiberiti, hii ni halali!!! Wapi katika Qur'an imehalalisha huu unyama!!

(33) Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza isipo kuwa kwa haki.
 
Ungemkata mguu mkuu ili asiwe anakwenda kwenye matukio ma.ma..e zake wanatuletea umaskini
 
mpaka sasa hamna confirmation yoyote, mtoa mada amekimbilia kusikojulikana kutubia madhambi yake
 
Hongera kama kweli ila kama ni story ya movie utalaaniwa
 
Sijui
Nilishuhudia dogo mmoja wanamfunga mdogo wake kwenye bomba la gari la kutolea moshi (exhaust) mwenye gari akawa anapiga resi...wakahakikisha moshi unaingia ipasavyo...baada ya hapo wakamuacha..unajua nini kilitokea?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…