Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

Nilishuhudia dogo mmoja wanamfunga mdogo wake kwenye bomba la gari la kutolea moshi (exhaust) mwenye gari akawa anapiga resi...wakahakikisha moshi unaingia ipasavyo...baada ya hapo wakamuacha..unajua nini kilitokea?..
[emoji1787]

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Watu ambao tumeshakabiliana mara kadhaa na vibaka/majambazi ndiyo tunaelewa kuwa stori hii ni uongo na ni chai ya pilipili manga
Kiuhalisia mtu mwenye silaha mfano panga tena wako zaid ya mmoja wakikutait wakakuwahi hata kama una panga kwenye bag huwezi kumdhuru kabla ya yeye kukudhuru kitendo cha kutoa tu wangekushambulia

Na Mara zote kibaka akikuwahi ukiwa na bag huwa hakuachii nafasi ya kufungua bag eti umpe kilicho ndani anacho fanya yeye ni kukunyang'anya bag lote ataenda yeye kulikagulia mbele ya safari na siyo eti wewe ndo umtolee vilivyo ndani ya begi, maana hata hilo begi lenyewe analihitaji pia hata kama halina kitu
 
Mbona huyu kijana anasema ameng'atwa na mbwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Safi mno. Ungekata mguu na mkono kabisa. Ila ukweli kuna movie madam anachezewa ila hataki kuona. Hii movie ni zaidi ya Royal Your. Afanye haraka mno aanze na IGP pia kundi lenye mipango nyeti akiwemo Nchemba. Ni planned move.
Inawezekana na hii ni movie pia
 
We Jamaa acha huruma za hovyo! Wenzio wanatoa utumbo we unakata vidole,Ungekata hata miguu basi iwe rahisi kumuona.
 
Hujui kitu kuhusu michezo ya silaha fupi
 
Kabisaaa sisi vibaka ndio tunaelewa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Wanaharakati watakwambia huyo mtoto umemwona na unatakiwa kuwa ndani ya nondo, bila kujua ungezembea saivi tungekuwa na matanga
 
Safi sana maana wanarudisha nyuma sana maendeleo hawa vibaka
 
Ukawa na mapanga yako mawili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii sio movie kwel mwanaume wa dar mm kbs nitoe mapanga mawili nipigane nao lol niacheni kwanz chips tamu wanangu na sura ilivyosoft nitoke ngeu madem itakuw bc tena [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…