Ukikutana naye........UTAMUULIZA?

Ukikutana naye........UTAMUULIZA?

Afu Mungu kasema mkamuulize mwenyewe bana maana watumishi wanashindwa kujibu maswali yako ni magumu mno halafu wewe ni mbishi sana

mtumishi rudi ukapate mafunzo vizuri bana acha kunisingizia.

wee mwenyewe ulisema Mungu yuko busy sana na wewe ndo utajibu maswali...haya kulikoni?
 
mi ni rafiki yako? wewe umuulize kwa nini marafiki zako wanagombana


kwa lipi sasa? angalia usije ukaota machungwa wewe kisha ndo tupatane

Naanzisha ugomvi tuu hasa nimfuate yule umpendaye na then ukinifumania naanzisha ugomvi
 
mtumishi rudi ukapate mafunzo vizuri bana acha kunisingizia.

wee mwenyewe ulisema Mungu yuko busy sana na wewe ndo utajibu maswali...haya kulikoni?

Una haraka sana kupata majibu ndo maana anasema itabidi uende mwenyewe kwa unyenyekevu umuulize
Na amesema uache zile nyumba ndogo zako zote ndo uende kwake
 
Iribini njoo ushuhudie 'mistaken jinsia' haraka sana.

hahahahahah kwani mwanamke hawezi kuwa na nyumba ndogo si wanakuwepo wanaume wake wa pembeni huko ambao anashare nao au wanaitwa vidumu
 
hahahahahah kwani mwanamke hawezi kuwa na nyumba ndogo si wanakuwepo wanaume wake wa pembeni huko ambao anashare nao au wanaitwa vidumu

yaani wewe na hiyo afya yako chafu hapo kwenye avatar, ni heri uangukiwe na ukuta kuliko kipondo cha laaziz wangu...

Mungu awajaalie misosi mjenge afya aisee
 
yaani wewe na hiyo afya yako chafu hapo kwenye avatar, ni heri uangukiwe na ukuta kuliko kipondo cha laaziz wangu...

Mungu awajaalie misosi mjenge afya aisee

tena sisi vibonde ndo tuna nguvu
aje na manyama uzembe yake atapata kipondo tuu
 
yaani wewe na hiyo afya yako chafu hapo kwenye avatar, ni heri uangukiwe na ukuta kuliko kipondo cha laaziz wangu...

Mungu awajaalie misosi mjenge afya aisee

Biihechitii kumbe na wewe una madongo hivyo...
 
tena sisi vibonde ndo tuna nguvu
aje na manyama uzembe yake atapata kipondo tuu

weweeee manyama uzembe nani kakwambia....mwanaume mwili wa mazoezi, mwili wa kiume.....
 
weweeee manyama uzembe nani kakwambia....mwanaume mwili wa mazoezi, mwili wa kiume.....

Nanyanyua mkono aise nisije nikapigwa ban bure
hapa tutayarishe maswali ya kwenda kwa sir God hayo mengine yalikuwa ya kupitisha muda tuu
Sorry kama kuna mahali nilienda arijojo
 
Nanyanyua mkono aise nisije nikapigwa ban bure
hapa tutayarishe maswali ya kwenda kwa sir God hayo mengine yalikuwa ya kupitisha muda tuu
Sorry kama kuna mahali nilienda arijojo

Ngoja Ally wa Kitaa aje
 
Nanyanyua mkono aise nisije nikapigwa ban bure
hapa tutayarishe maswali ya kwenda kwa sir God hayo mengine yalikuwa ya kupitisha muda tuu
Sorry kama kuna mahali nilienda arijojo

usitie shaka kabisaaa 'bwan' Rocky....
did I sound that serious? hapa tunachangamshana tu kaka....Amani
 
usitie shaka kabisaaa 'bwan' Rocky....
did I sound that serious? hapa tunachangamshana tu kaka....Amani

Amani kwa pamoja sana .........
u sound so serious and I ask myself duh what have i done to deserve that harshy statement
 
Back
Top Bottom