bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Afu Mungu kasema mkamuulize mwenyewe bana maana watumishi wanashindwa kujibu maswali yako ni magumu mno halafu wewe ni mbishi sana
mtumishi rudi ukapate mafunzo vizuri bana acha kunisingizia.
wee mwenyewe ulisema Mungu yuko busy sana na wewe ndo utajibu maswali...haya kulikoni?