Ukimdhihaki Mungu hadharani majibu unayapata siku si nyingi

Ukimdhihaki Mungu hadharani majibu unayapata siku si nyingi

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Kwanza namshukuru sana Mungu kwa neema yake nimekuwa miongoni mwa binadamu ambao wameanza maisha rasmi,kwa ile maana maisha yanaanza ukiwa na miaka 40,kwani niko katika 40's

Nimegundua au kuyasikia mambo kadhaa ambayo pale mwanadamu anapo mdhihaki Mungu hadharani basi hakika majibu huja mapema mno

Mtengenezaji wa meli ya Titanic,kwa uhodari na tekinolojia waliyotumia kutengeneza,waliamini ni meli bora sana ambayo isingewaza kuzama,alipoulizwa umadhubuti wa meli hiyo na waandishi wa habari,alisema ni meli imara na bora sana hata Mungu hawezi kuizamisha.

Kilichotokea nadhani wote tunakijua,imebaki historia tu na watu wanapambana kila kukicha kwenda kuchunguza mabaki yake

Screenshot_20241017_123759_Google_resized.jpg



Kuna kipindi kilichopita wakati wa kampeni uchaguzi mkuu kati ya marehemu Magufuli na marehemu Lowasa akiwa upinzani,mwanasiasa maarufu mama Serina Kombani alisema Lowasa atakufa mda si mrefu kwa kuwa ni mgonjwa

Lakini kilichotokea nadhani wote tunakijua,alitangulia kufa yeye kwanza nadhani hazikupita wiki au moja akatungalia mbele ya haki

Kuna binti mmoja alikuwa anaenda matembezi au kwenda mji mwingine na gari yake,sikumbuki vizuri ni kama aliambiwa na mama yake amuombe Mungu afike salama,lakini alidhihaki,na nyuma ya gari kulikuwa na mayai,alipata ajali mbaya sana,lkn cha kushangaza hakuna hata yai moja lililo vunjika

Kuna binti mmoja nadhani kama sio Chanika basi mbagala ni mwaka jana tu,aliambiwa na mama yake,uswali swala ya isha kabla hujalala ni mida ya saa mbili usiku,akamjibu mama yake kama unaona kuswali ni muhimu basi swali wewe na Allah wako kilichotokea usiku huo hakuamka tena

Wasomaji wangu Mungu wetu ni mkubwa mno ni mwenye kusikia na kuona kila kitu,kuwa makini sana matamshi yako kwani hakika yeye halali wala hasinzii,anajua yaliyomo kizani na kwenye mwanga

NI hayo tu!
 
Kwanza namshukuru sana Mungu kwa neema yake nimekuwa miongoni mwa binadamu ambao wameanza maisha rasmi,kwa ile maana maisha yanaanza ukiwa na miaka 40,kwani niko katika 40's

Nimegundua au kuyasikia mambo kadhaa ambayo pale mwanadamu anapo mdhihaki Mungu hadharani basi hakika majibu huja mapema mno

Mtengenezaji wa meli ya Titanic,kwa uhodari na tekinolojia waliyotumia kutengeneza,waliamini ni meli bora sana ambayo isingewaza kuzama,alipoulizwa umadhubuti wa meli hiyo na waandishi wa habari,alisema ni meli imara na bora sana hata Mungu hawezi kuizamisha.

Kilichotokea nadhani wote tunakijua,imebaki historia tu na watu wanapambana kila kukicha kwenda kuchunguza mabaki yake

View attachment 3127599


Kuna kipindi kilichopita wakati wa kampeni uchaguzi mkuu kati ya marehemu Magufuli na marehemu Lowasa akiwa upinzani,mwanasiasa maarufu mama Serina Kombani alisema Lowasa atakufa mda si mrefu kwa kuwa ni mgonjwa

Lakini kilichotokea nadhani wote tunakijua,alitangulia kufa yeye kwanza nadhani hazikupita wiki au moja akatungalia mbele ya haki

Kuna binti mmoja alikuwa anaenda matembezi au kwenda mji mwingine na gari yake,sikumbuki vizuri ni kama aliambiwa na mama yake amuombe Mungu afike salama,lakini alidhihaki,na nyuma ya gari kulikuwa na mayai,alipata ajali mbaya sana,lkn cha kushangaza hakuna hata yai moja lililo vunjika

Kuna binti mmoja nadhani kama sio Chanika basi mbagala ni mwaka jana tu,aliambiwa na mama yake,uswali swala ya isha kabla hujalala ni mida ya saa mbili usiku,akamjibu mama yake kama unaona kuswali ni muhimu basi swali wewe na Allah wako kilichotokea usiku huo hakuamka tena

Wasomaji wangu Mungu wetu ni mkubwa mno ni mwenye kusikia na kuona kila kitu,kuwa makini sana matamshi yako kwani hakika yeye halali wala hasinzii,anajua yaliyomo kizani na kwenye mwanga

NI hayo tu!
Afande Sele mbona ajafa. Au Kiranga na wenzake hawajafa?
 
Kwanza namshukuru sana Mungu kwa neema yake nimekuwa miongoni mwa binadamu ambao wameanza maisha rasmi,kwa ile maana maisha yanaanza ukiwa na miaka 40,kwani niko katika 40's

Nimegundua au kuyasikia mambo kadhaa ambayo pale mwanadamu anapo mdhihaki Mungu hadharani basi hakika majibu huja mapema mno

Mtengenezaji wa meli ya Titanic,kwa uhodari na tekinolojia waliyotumia kutengeneza,waliamini ni meli bora sana ambayo isingewaza kuzama,alipoulizwa umadhubuti wa meli hiyo na waandishi wa habari,alisema ni meli imara na bora sana hata Mungu hawezi kuizamisha.

Kilichotokea nadhani wote tunakijua,imebaki historia tu na watu wanapambana kila kukicha kwenda kuchunguza mabaki yake

View attachment 3127599


Kuna kipindi kilichopita wakati wa kampeni uchaguzi mkuu kati ya marehemu Magufuli na marehemu Lowasa akiwa upinzani,mwanasiasa maarufu mama Serina Kombani alisema Lowasa atakufa mda si mrefu kwa kuwa ni mgonjwa

Lakini kilichotokea nadhani wote tunakijua,alitangulia kufa yeye kwanza nadhani hazikupita wiki au moja akatungalia mbele ya haki

Kuna binti mmoja alikuwa anaenda matembezi au kwenda mji mwingine na gari yake,sikumbuki vizuri ni kama aliambiwa na mama yake amuombe Mungu afike salama,lakini alidhihaki,na nyuma ya gari kulikuwa na mayai,alipata ajali mbaya sana,lkn cha kushangaza hakuna hata yai moja lililo vunjika

Kuna binti mmoja nadhani kama sio Chanika basi mbagala ni mwaka jana tu,aliambiwa na mama yake,uswali swala ya isha kabla hujalala ni mida ya saa mbili usiku,akamjibu mama yake kama unaona kuswali ni muhimu basi swali wewe na Allah wako kilichotokea usiku huo hakuamka tena

Wasomaji wangu Mungu wetu ni mkubwa mno ni mwenye kusikia na kuona kila kitu,kuwa makini sana matamshi yako kwani hakika yeye halali wala hasinzii,anajua yaliyomo kizani na kwenye mwanga

NI hayo tu!
Walioazama kwenye meli ya MV Bukoba walimdhihaki mungu??
 
Back
Top Bottom