Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #21
Boss hivi umeelewa andiko langu au hujasoma na.kukomenti tu?Walioazama kwenye meli ya MV Bukoba walimdhihaki mungu??
Je hao watu wa mv bukoba uliwasikia wakisema mv bukoba ni bora sana mungu hawezi kuizamisha