Ukimripoti mtu uhamiaji Marekani ambaye hana makaratasi unalipwa usd 750. Wakenya na Watanzania wanachongeana balaa

Ukimripoti mtu uhamiaji Marekani ambaye hana makaratasi unalipwa usd 750. Wakenya na Watanzania wanachongeana balaa

Huyu mtu mweusi kapewa Uenyekiti wa Chama cha Conservative, kachukuwa nafasi ya yule Rishi Sunak alokuwa Waziri Mkuu, sasa hayo ndio maazimio alokuja nayo.
Wakati yeye mwenyewe ni mkimbizi katokea Nigeria ila sasa karamba asali anaweka sheria ngumu kwa wahamiaji wenzake yule Baniani yeye alipopata tu ile fursa ya Uwaziri Mkuu basi aliingiza Wahindi wenzake wasiopungua millioni 3 katika kipindi chake.
Nashawishika kuamini huyo anafanya vile hili kuwafurahisha wanachama na wafuasi wa chama chake(Conservative party) mind you moja ya ideologies za Conservatives duniani kote huwa ni kuwa anti-immigrants na ndio maana utakuta wanaongelea yale yale tu kama kusecure boarders, kuondoa wahamiaji haramu, kuweka mazingira magumu kupata uraia kwa wageni... wanafanya hivyo wakiamini ndio hatu ya kwanza ya kupreserve national interests.

Ukimwangalia body language huyu Olukemi Olufunto Adekoge Badenoch utaona kabisa hata nafsi yake inamsuta... hayo maneno anayosema yeye mwenyewe tu hayafurahii, ila inamlazimu kufanya hivyo.
 
Hey ya'll ma nigga😁
20250211_121957.jpg
 
Mje tarime tulime viazi mviringo na yale majani yaliyopigwa marufuku yenye vinasaba na bob marley
 
Mtu mweusi ana roho mbaya sana.

Wakenya na wabongo wanawachongea wenzio ambao wanaishi sasa hivi kwa kujificha kwasababu hawana vibali vinavyowataka waishi Marekani baada ya Serikali ya Trump kutoa agizo wote wakamatwe na warudishwe.

Licha ya zoezi hilo pia kuna dau la dollar 750 ukimripoti mhamiaji yoyote haramu.

Kutokana na hilo watu wanachongeana sana.

Rafiki yangu ambaye yuko Texas amenithibitishia tabia hii ya roho mbaya na ya kichwani ipo sana kwa wakenya na wabongo hata kabla ya Trump kuingia madarakani majuzi.

Ni vigumu kukuta jamii ya mexico huko wanawachongea wenzao warudishwe.

Hali ya hofu na sintofaham ya ndugu zetu ambao makaratasi yao yana mushkel imetanda sana.

Wanaishi maisha ya hofu na huzuni kwa kujifungia na kujificha ambapo inawawia vigumu kupata mahitaji ya kila siku kwasababu hawaendi kazini na kukosa vipato vya kuwasaidia katika maisha ya kila siku.

Niggers wengine Bongo kama chawi Webabu tumesoma humu wakiomba na kusheherekea wapambanaji mtoni warudishwe. Sasa wakirudishwa sukari itashuka bei ama mafuta ya kula au petrol? Roho ya kichawi kabisa.

Tuwaombeeni ndugu zetu na Mungu awatangulie.

Mungu ingilia kati!

My take

Jamii ya wa wasomali marekani wanawasaidia wenzao ambao hawana makaratasi. Hadi mmbunge msomali ilhan Omar amewapa maelekezo undapo wakikamatwa jinsi ya kufanya wasizungumze chochote. Kwasababu hawana haki yakukuuliza information zako. Wasomali wanasaidiana sana kwenye shida.

View attachment 3233106

Nyau de adriz
Kwani lazima umtaje adriz? 🤣
 
Mtu mweusi ana roho mbaya sana.

Wakenya na wabongo wanawachongea wenzio ambao wanaishi sasa hivi kwa kujificha kwasababu hawana vibali vinavyowataka waishi Marekani baada ya Serikali ya Trump kutoa agizo wote wakamatwe na warudishwe.

Licha ya zoezi hilo pia kuna dau la dollar 750 ukimripoti mhamiaji yoyote haramu.

Kutokana na hilo watu wanachongeana sana.

Rafiki yangu ambaye yuko Texas amenithibitishia tabia hii ya roho mbaya na ya kichwani ipo sana kwa wakenya na wabongo hata kabla ya Trump kuingia madarakani majuzi.

Ni vigumu kukuta jamii ya mexico huko wanawachongea wenzao warudishwe.

Hali ya hofu na sintofaham ya ndugu zetu ambao makaratasi yao yana mushkel imetanda sana.

Wanaishi maisha ya hofu na huzuni kwa kujifungia na kujificha ambapo inawawia vigumu kupata mahitaji ya kila siku kwasababu hawaendi kazini na kukosa vipato vya kuwasaidia katika maisha ya kila siku.

Niggers wengine Bongo kama chawi Webabu tumesoma humu wakiomba na kusheherekea wapambanaji mtoni warudishwe. Sasa wakirudishwa sukari itashuka bei ama mafuta ya kula au petrol? Roho ya kichawi kabisa.

Tuwaombeeni ndugu zetu na Mungu awatangulie.

Mungu ingilia kati!

My take

Jamii ya wa wasomali marekani wanawasaidia wenzao ambao hawana makaratasi. Hadi mmbunge msomali ilhan Omar amewapa maelekezo undapo wakikamatwa jinsi ya kufanya wasizungumze chochote. Kwasababu hawana haki yakukuuliza information zako. Wasomali wanasaidiana sana kwenye shida.

View attachment 3233106

Nyau de adriz
Tabia ya kuchongeana hiyo ilianzia tangu shuleni..ndiyo u-Afrika wenyewe.😀
 
Huyu mtu mweusi kapewa Uenyekiti wa Chama cha Conservative, kachukuwa nafasi ya yule Rishi Sunak alokuwa Waziri Mkuu, sasa hayo ndio maazimio alokuja nayo.
Wakati yeye mwenyewe ni mkimbizi katokea Nigeria ila sasa karamba asali anaweka sheria ngumu kwa wahamiaji wenzake yule Baniani yeye alipopata tu ile fursa ya Uwaziri Mkuu basi aliingiza Wahindi wenzake wasiopungua millioni 3 katika kipindi chake.
Mtu kazaliwa UK unasemaje ni Mkimbizi
 
Back
Top Bottom