GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Umeona wapi Mgombea wa Urais wa Vilabu vya Michezo ( siyo Siasa ) anaenda kuomba Kura halafu anaambatana na Mgombea Nafasi ya Umakamu na bila haya ( aibu ) akijua ni Kinyume na Katiba ya Yanga SC huku akilazimisha Wajumbe watakaopiga Kura wamchagulie huyo Mtu?
Tulipoona Yanga SC wameruhusu GSM Wenye Akili ( nje ya Usimba na Uyanga ) Wetu tukibakia kama Wachambuzi wa Masuala Mtambuka tulioonya kuwa kuna HATARI itatokea mbele ya Safari kwani Yanga SC ilikuwa inaenda kumezwa 'mazima' na GSM, ila bahati mbaya Wavivu wa Kufikiri ( Wapumbavu ) hawakutuelewa ila sasa baada ya Bibie Suma Mwaitenda jana Kufunguka mengi alipokuwa 'akijinadi' nadhani sasa mtatuelewa na hata kutuamkia Shikamoo akina GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Tulipoona Yanga SC wameruhusu GSM Wenye Akili ( nje ya Usimba na Uyanga ) Wetu tukibakia kama Wachambuzi wa Masuala Mtambuka tulioonya kuwa kuna HATARI itatokea mbele ya Safari kwani Yanga SC ilikuwa inaenda kumezwa 'mazima' na GSM, ila bahati mbaya Wavivu wa Kufikiri ( Wapumbavu ) hawakutuelewa ila sasa baada ya Bibie Suma Mwaitenda jana Kufunguka mengi alipokuwa 'akijinadi' nadhani sasa mtatuelewa na hata kutuamkia Shikamoo akina GENTAMYCINE hapa JamiiForums.