Ukimsikiliza Kiumakini sana Bibie Suma Mwaitenda utagundua kuwa Yanga SC kuna Amani ya Kiini Macho tu, ila kuna Bomu linakaribia Kulipuka Yanga SC

Ukimsikiliza Kiumakini sana Bibie Suma Mwaitenda utagundua kuwa Yanga SC kuna Amani ya Kiini Macho tu, ila kuna Bomu linakaribia Kulipuka Yanga SC

Mimi naomba kufahamu kwanini simba sc walikataa kuvaa jezi zenye lebol ya gsm
 
Umeona wapi Mgombea wa Urais wa Vilabu vya Michezo ( siyo Siasa ) anaenda kuomba Kura halafu anaambatana na Mgombea Nafasi ya Umakamu na bila haya ( aibu ) akijua ni Kinyume na Katiba ya Yanga SC huku akilazimisha Wajumbe watakaopiga Kura wamchagulie huyo Mtu?

Tulipoona Yanga SC wameruhusu GSM Wenye Akili ( nje ya Usimba na Uyanga ) Wetu tukibakia kama Wachambuzi wa Masuala Mtambuka tulioonya kuwa kuna HATARI itatokea mbele ya Safari kwani Yanga SC ilikuwa inaenda kumezwa 'mazima' na GSM, ila bahati mbaya Wavivu wa Kufikiri ( Wapumbavu ) hawakutuelewa ila sasa baada ya Bibie Suma Mwaitenda jana Kufunguka mengi alipokuwa 'akijinadi' nadhani sasa mtatuelewa na hata kutuamkia Shikamoo akina GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Mwanasimba hawezi kuhurumia Yanga kiasi hicho. Acha uchokonoko wewe ni Simba kindakindaki
 
Umeona wapi Mgombea wa Urais wa Vilabu vya Michezo ( siyo Siasa ) anaenda kuomba Kura halafu anaambatana na Mgombea Nafasi ya Umakamu na bila haya ( aibu ) akijua ni Kinyume na Katiba ya Yanga SC huku akilazimisha Wajumbe watakaopiga Kura wamchagulie huyo Mtu?

Tulipoona Yanga SC wameruhusu GSM Wenye Akili ( nje ya Usimba na Uyanga ) Wetu tukibakia kama Wachambuzi wa Masuala Mtambuka tulioonya kuwa kuna HATARI itatokea mbele ya Safari kwani Yanga SC ilikuwa inaenda kumezwa 'mazima' na GSM, ila bahati mbaya Wavivu wa Kufikiri ( Wapumbavu ) hawakutuelewa ila sasa baada ya Bibie Suma Mwaitenda jana Kufunguka mengi alipokuwa 'akijinadi' nadhani sasa mtatuelewa na hata kutuamkia Shikamoo akina GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Ni hivi Rais wa yanga ni Eng,Hersi said, makamu wa Rais ni Arafat haji, wajumbe wa excom bado tunawachuja kabla atujaamua, uyo Suma mwaitenda tunamuhitaji kwenye nafasi nyingine tutakayompa ndani ya yanga but sio kwenye nafasi ya umakamu wa Rais kwa sasa, Combination ya Hersi na Arafat haji imeclick tiyali kwenye safu iyo ya juu na siku zote njiwa wanaofanana huruka pamoja, trh 9 tunakwenda kuhitimisha takwa la kikatiba tu lakini uchaguzi tushaumaliza hizo ngonjera mnazopiga ni sawa na mbio za sakafuni
 
oscaroscarjr~p~CftVPy7qNSV~1.jpg
 
Suma Mwaitenda ni Lecturer Ardhi University, na ni Makamu rais wa quantity surveyors Tanzania. Level ya kulima maparachichi alivuka zamani sana!

Mimi kama mwanaUtopolo, nadhani Suma Mwaitenda angefaa zaidi kua makamu. Anayo experience ya uongozi hata ndani ya Yanga alikua Mjumbe. She's educated, na atasaidia kukuza brand ya Yanga kwa kuleta gender balance kwenye uongozi.

Kile kidada cha Makolo kidemu cha "mwamedi", kilitakiwa kipate mwanamke mwenzie upande wa Yanga wasumbuane, wakati wanaume akina Hersi wanaiweka team kwenye mstari.
Wewe na Suma Mwaitenda tunaomba muendelee na majukumu yenu mengine

Tunajua makolo mnatafuta uchochoro wa kupitia ila hamtapata hata upenyo mdogo
 
Alichokosea Suma Mwaitenda ni kuacha jina lake lipigiwe Campaign na watu Wa upande wa pili(makolo)

Hata kama ana nia njema na klabu ila tutamchukulia kama kirusi kinachotafutiwa nafasi kwenye timu yetu

Amekosea sana kupiga step yake
 
Mimi nilishangaa tuu siku ya Royo tuwa ya Kombe lao walipopokelewa airport na kufika kilabuni kwao, niliona dua za kiarabu zinapigwa pale, nikajiuliza hawa watu hawajistukii, yani wanaona ni haki yao ya msingi kufanya hivyo? Sijui kama wamefanya tafiti za itikadi za wafuasi na mashabiki wao
 
Huyo Dada yupo vizuri anajenga hoja na smart sana ningekua mjumbe kura yangu angepata ila kitakacho mponza ni Ahmed Alli sijui amewashwa kitu gani either ni makusudi au bahati mbaya kumpigia kampeni kasha haribu kila kitu

Amemtumia Ahmed All kama kichaka tu.

Alikosea tangu mwanzo kuwapa nafasi vijana wa simba sc kumpromote.

Baada ya hapo kila shabiki wa simba akaona kumpromote yule dada ni kuikomoa yanga sc.

[emoji23][emoji23]
 
Mimi nilishangaa tuu siku ya Royo tuwa ya Kombe lao walipopokelewa airport na kufika kilabuni kwao, niliona dua za kiarabu zinapigwa pale, nikajiuliza hawa watu hawajistukii, yani wanaona ni haki yao ya msingi kufanya hivyo? Sijui kama wamefanya tafiti za itikadi za wafuasi na mashabiki wao
Ukiona Yanga haiendani na itikadi zako,unaacha kuishabikia tu Mzee wangu
 
Yanga ishachukuliwa

GSM walikuwa wanatafuta kukaa kwenye maamuzi ya jumla ya Club na amefanikiwa

Hii inaitwa deal done tusubiri yajayo

Waichukue kabisa waipeleke EPL kama ikiwezekana.

Tunachojali sisi ni ushindi tu.
 
Amemtumia Ahmed All kama kichaka tu.

Alikosea tangu mwanzo kuwapa nafasi vijana wa simba sc kumpromote.

Baada ya hapo kila shabiki wa simba akaona kumpromote yule dada ni kuikomoa yanga sc.

[emoji23][emoji23]
Huyu Dada amekosea step yake kabisa
 
Ukiona Yanga haiendani na itikadi zako,unaacha kuishabikia tu Mzee wangu
Waweke kabisa itikadi zao kwenye katiba yao na watangaze kwenye public ili tukiishabikia tujue ni taasisi yenye mrengo fulani ili tukiisgabikia iwe at own risk.
Ni ushamba na kutokustaarabika kwa hali ya juu kwa taasisi yenye wapenzi wa imani mbalimbali mnafanya mambo ya imani moja ku dominate. Kama unaona huwezi ku ballance bora uache kabisa kuingiza mambo ya imani. Kuna watu wanaweza kufikiri kuwa ni kitengo cha uenezi wa imani fulani. Hata kama miongoni mwenu yupo mmoja tuu kati ya milioni 20 na mmemkubali kuwa miongoni mwenu, mtambueni utofauti wake, msidominate. Hii ni mbaya na haipaswi kuigwa na jamii ya kistaarabu
 
Umeona wapi Mgombea wa Urais wa Vilabu vya Michezo ( siyo Siasa ) anaenda kuomba Kura halafu anaambatana na Mgombea Nafasi ya Umakamu na bila haya ( aibu ) akijua ni Kinyume na Katiba ya Yanga SC huku akilazimisha Wajumbe watakaopiga Kura wamchagulie huyo Mtu?

Tulipoona Yanga SC wameruhusu GSM Wenye Akili ( nje ya Usimba na Uyanga ) Wetu tukibakia kama Wachambuzi wa Masuala Mtambuka tulioonya kuwa kuna HATARI itatokea mbele ya Safari kwani Yanga SC ilikuwa inaenda kumezwa 'mazima' na GSM, ila bahati mbaya Wavivu wa Kufikiri ( Wapumbavu ) hawakutuelewa ila sasa baada ya Bibie Suma Mwaitenda jana Kufunguka mengi alipokuwa 'akijinadi' nadhani sasa mtatuelewa na hata kutuamkia Shikamoo akina GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Upo sahihi kabisa
 
Umeona wapi Mgombea wa Urais wa Vilabu vya Michezo ( siyo Siasa ) anaenda kuomba Kura halafu anaambatana na Mgombea Nafasi ya Umakamu na bila haya ( aibu ) akijua ni Kinyume na Katiba ya Yanga SC huku akilazimisha Wajumbe watakaopiga Kura wamchagulie huyo Mtu?

Tulipoona Yanga SC wameruhusu GSM Wenye Akili ( nje ya Usimba na Uyanga ) Wetu tukibakia kama Wachambuzi wa Masuala Mtambuka tulioonya kuwa kuna HATARI itatokea mbele ya Safari kwani Yanga SC ilikuwa inaenda kumezwa 'mazima' na GSM, ila bahati mbaya Wavivu wa Kufikiri ( Wapumbavu ) hawakutuelewa ila sasa baada ya Bibie Suma Mwaitenda jana Kufunguka mengi alipokuwa 'akijinadi' nadhani sasa mtatuelewa na hata kutuamkia Shikamoo akina GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

“Asilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
Back
Top Bottom