Ukimsikiliza Kiumakini sana Bibie Suma Mwaitenda utagundua kuwa Yanga SC kuna Amani ya Kiini Macho tu, ila kuna Bomu linakaribia Kulipuka Yanga SC

Ukimsikiliza Kiumakini sana Bibie Suma Mwaitenda utagundua kuwa Yanga SC kuna Amani ya Kiini Macho tu, ila kuna Bomu linakaribia Kulipuka Yanga SC

Samia anakuna kichwa nchi anaisogeza vipi aje kudeal na upumbavu huo
 
Timu inahutahi backup za Nje ya uwanja.Engineer anaback ya rais mstaafu kikwete na hata Samia.Arafat na backup ya mwinyi rais wa Zanzibar.Suma ni mwalimu TU.sasa utafananisha na Arafat?Arafat akiendelea vema anaweza kuwa hata rais wa Zanzibar baadae.

NB:Yanga inawagombea wasomi sana levo za juu za uongozi,wakati huohuo Simba walioomba urais ni wahuni TU kina mangungu Shangazi na yule wa rais atawale milele
makolo ile collabo ya Arafat na Hersi awalitaki kabisa
 
Hapa unapoint. Mgombea urais anaingilia uchaguzi wa makamu wa Rais.
Vipi na hapa ulisema chochote?
Screenshot_20220707-103332_Chrome.jpg
 
Timu inahutahi backup za Nje ya uwanja.Engineer anaback ya rais mstaafu kikwete na hata Samia.Arafat na backup ya mwinyi rais wa Zanzibar.Suma ni mwalimu TU.sasa utafananisha na Arafat?Arafat akiendelea vema anaweza kuwa hata rais wa Zanzibar baadae.

NB:Yanga inawagombea wasomi sana levo za juu za uongozi,wakati huohuo Simba walioomba urais ni wahuni TU kina mangungu Shangazi na yule wa rais atawale milele
Nilipofika hapo kwenye hoja ya uwezekano wa Arafat kuwa Rais wa Zanzibar, nikagundua hoja imetoka kwa mtu asiye na uelewa wowote juu ya siasa za Zanzibar ila analazimisha kuonekana anajua.
 
Haji manara
Ahaaah. Kuna watu wanapenda kulitumia Sana hili neno. Ila watu hao Manara huyo huyo alishasema kuwa "hawana akili".

Kwa watu hao kushabikia maneno ya mtu aliyedai "kuwa hawana akili" inathibitisha tu kuwa "ni kweli hawana akili".
 
Ahaaah. Kuna watu wanapenda kulitumia Sana hili neno. Ila watu hao Manara huyo huyo alishasema kuwa "hawana akili".

Kwa watu hao kushabikia maneno ya mtu aliyedai "kuwa hawana akili" inathibitisha tu kuwa "ni kweli hawana akili".
Sawa kolo tumekusikia
 
Umeona wapi Mgombea wa Urais wa Vilabu vya Michezo ( siyo Siasa ) anaenda kuomba Kura halafu anaambatana na Mgombea Nafasi ya Umakamu na bila haya ( aibu ) akijua ni Kinyume na Katiba ya Yanga SC huku akilazimisha Wajumbe watakaopiga Kura wamchagulie huyo Mtu?

Tulipoona Yanga SC wameruhusu GSM Wenye Akili ( nje ya Usimba na Uyanga ) Wetu tukibakia kama Wachambuzi wa Masuala Mtambuka tulioonya kuwa kuna HATARI itatokea mbele ya Safari kwani Yanga SC ilikuwa inaenda kumezwa 'mazima' na GSM, ila bahati mbaya Wavivu wa Kufikiri ( Wapumbavu ) hawakutuelewa ila sasa baada ya Bibie Suma Mwaitenda jana Kufunguka mengi alipokuwa 'akijinadi' nadhani sasa mtatuelewa na hata kutuamkia Shikamoo akina GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Pilipili usioila inakuwashia nini?
 
Huyo SUMA inabidi arudi mbeya kulima maparachichi
Suma Mwaitenda ni Lecturer Ardhi University, na ni Makamu rais wa quantity surveyors Tanzania. Level ya kulima maparachichi alivuka zamani sana!

Mimi kama mwanaUtopolo, nadhani Suma Mwaitenda angefaa zaidi kua makamu. Anayo experience ya uongozi hata ndani ya Yanga alikua Mjumbe. She's educated, na atasaidia kukuza brand ya Yanga kwa kuleta gender balance kwenye uongozi.

Kile kidada cha Makolo kidemu cha "mwamedi", kilitakiwa kipate mwanamke mwenzie upande wa Yanga wasumbuane, wakati wanaume akina Hersi wanaiweka team kwenye mstari.
 
Yanga ishachukuliwa

GSM walikuwa wanatafuta kukaa kwenye maamuzi ya jumla ya Club na amefanikiwa

Hii inaitwa deal done tusubiri yajayo
 
Back
Top Bottom