Ukimtongoza mwanamke na akakuambia muwe marafiki kwanza ujue hapo amekukataa tayari jiongeze achana naye

Ndio maana niliwaambia wadau akitaka urafiki wewe kubali ila nenda kwa akili tembea na beat lake.[emoji23]
Binafs akishataka urafiki,

Naweza mkubalia kisiasa TU,

Ila mbeleni uko atajua kabisa hili jamaa limechukia, na halitaki hizo mambo.

Ntampiga sanctions za maana mpk atasema huu urafiki Sasa umekua uadui.

Yeye mwnyw atajiongeza tuendelee next step au kila mtu afanye bizness zake.
 
Kama marafiki lazima mtoke out na gharama ni juu yako. Na kama unamtaka unajiongeza gifts za hapa na pale. Kama anakupenda hachomoi utamla tu siku si nyingi
 
Kama marafiki lazima mtoke out na gharama ni juu yako. Na kama unamtaka unajiongeza gifts za hapa na pale. Kama anakupenda hachomoi utamla tu siku si nyingi
Umeongelea upande mmoja,
Vipi Kama hakupendi?

Ndo itakua kupotezeana muda na kujiharibia riziki kwa wanawake wengn wenye MDA na Wewe.

Maana ke wengn wakoliona uko bize na mwenzao,wanajua tayar mna mahusiano wanajiweka kando.
 
Kama marafiki lazima mtoke out na gharama ni juu yako. Na kama unamtaka unajiongeza gifts za hapa na pale. Kama anakupenda hachomoi utamla tu siku si nyingi
Na out za mjini Kama ujuavyo huwez mpeleka binti wa Watu magengeni

Utaacha shughuli zako,utumie gharama zako ili kujipendekeza TU ili kulazimishwa KUPENDWA.

Yaan Apo hata akikukubalia jua kakuonea tu huruma unavoteseka Kwa ajili yake[emoji1]
 
Umeongelea upande mmoja,
Vipi Kama hakupendi?

Ndo itakua kupotezeana muda na kujiharibia riziki kwa wanawake wengn wenye MDA na Wewe.

Maana ke wengn wakoliona uko bize na mwenzao,wanajua tayar mna mahusiano wanajiweka kando.
Kama hakupendi basi😀
Ni kama bahati nasibu
 
Kama hakupendi basi[emoji3]
Ni kama bahati nasibu
Yote ya Nini Sasa kubet mahusiano na wanawake wazuri wapo lukuki Duniani.

Hii kila siku nasema,
huu ujinga wafanyiwe wanaume dhaifu, desperate na wasiojiamini

Huwez ukawa mwanaume una soko ukaanza kujiliza kisa mapenzi.

Otherwise uyo mwanamke niwe nishamvua na nmegundua ana kitu special sn Kama alivyo kwa mamaJ.

Hapo hata mwaka mzima ntasuburi jibu[emoji38]
 
Mara nyingi hua inanichukua mda sana kujenga urafiki na mdada hadi kufika hata ya kutafuna viungo vyake!

Kuna Moja nlitumia miezi mitatu 😁saiv napata non stop supply ya utelezi

Kuna moja kanipa namba zake mitaaa ya china plaza 😁kitu ya mbeya dadeq ana mtindi huo


Nkimaliza ntauza address yake Kwa mzabzab
 
Maisha yanebadilika mkuu,
Kumbuka elimu yetu inatumia mtaala was mwaka 1977 tulioachiwa na mkoloni[emoji1]
Vijana wa chips yai hawataki kuzungushwa... ni nakupenda... haya.. twende tukatiane karoti... imeisha!
 
Yaah
 
fact
 
Ati china plaza? Ni mnyaki? Isije kuwa nilishapiga nae huyo 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…