Ifike mahala wanaume tuache kutumika,Urafiki wa kibongo ni kitivo cha Mizinga. [emoji1787] Maswala ya kugeuzwa wakala wa kuendesha mapenzi ya watu wengine hapana.
Pesa ndogo TU,Hapo unakuwa umeshachoma hela ya kutosha lakini.
Meh.Hatutongozi wala kuongoza, Tunatoa maelekezo tu
Binafs akishataka urafiki,Ndio maana niliwaambia wadau akitaka urafiki wewe kubali ila nenda kwa akili tembea na beat lake.[emoji23]
Kama marafiki lazima mtoke out na gharama ni juu yako. Na kama unamtaka unajiongeza gifts za hapa na pale. Kama anakupenda hachomoi utamla tu siku si nyingiUrafiki una faida kwa Nyie wanawake, hasa wa vijijini.
Ile kwa mwanaume ile Ni time consuming na expensive, Unatumika Kama danga TU.
Ni nzur Kama mwanamke Kama hapigi vizinga, au Hana mahitaji yoyote ya pesa.
Sema kwa maisha ya mjini mjini.
gharama za maisha ziko juu mno,
uzoeane na mwanmke tu bila kumhudumia au kutumia nae pesa zako
Hiyo hata wee mwnyw mwanume utajistukia, Hapa nazingua aisee.
ANAISHIJE HUYU MWANAMKE?[emoji848]
Umeongelea upande mmoja,Kama marafiki lazima mtoke out na gharama ni juu yako. Na kama unamtaka unajiongeza gifts za hapa na pale. Kama anakupenda hachomoi utamla tu siku si nyingi
Na out za mjini Kama ujuavyo huwez mpeleka binti wa Watu magengeniKama marafiki lazima mtoke out na gharama ni juu yako. Na kama unamtaka unajiongeza gifts za hapa na pale. Kama anakupenda hachomoi utamla tu siku si nyingi
Confirm bas😃😃nasoma comments 😊,
Kama hakupendi basi😀Umeongelea upande mmoja,
Vipi Kama hakupendi?
Ndo itakua kupotezeana muda na kujiharibia riziki kwa wanawake wengn wenye MDA na Wewe.
Maana ke wengn wakoliona uko bize na mwenzao,wanajua tayar mna mahusiano wanajiweka kando.
Yote ya Nini Sasa kubet mahusiano na wanawake wazuri wapo lukuki Duniani.Kama hakupendi basi[emoji3]
Ni kama bahati nasibu
Maisha yanebadilika mkuu,Kwani civics inasemaje kuhusu hili swala?
FRIENDSHIP
COURTSHIP
MARRIAGE
FAMILY..
wabongo wanataka kutiana tu mda wote maneyna
Vijana wa chips yai hawataki kuzungushwa... ni nakupenda... haya.. twende tukatiane karoti... imeisha!Maisha yanebadilika mkuu,
Kumbuka elimu yetu inatumia mtaala was mwaka 1977 tulioachiwa na mkoloni[emoji1]
short&clear,Vijana wa chips yai hawataki kuzungushwa... ni nakupenda... haya.. twende tukatiane karoti... imeisha!
YaahBinafs akishataka urafiki,
Naweza mkubalia kisiasa TU,
Ila mbeleni uko atajua kabisa hili jamaa limechukia, na halitaki hizo mambo.
Ntampiga sanctions za maana mpk atasema huu urafiki Sasa umekua uadui.
Yeye mwnyw atajiongeza tuendelee next step au kila mtu afanye bizness zake.
factKumtongoza mwanamke ni process inayohitaji kuzingatia vitu vingi na moja wapo ni uwezo wako wa ku predict outcomes before making a move.
Yan kuna mamzingira unapaswa kujua kabisa hapa kwa namna yoyote ile the answer will be no..na kuna mazingira unaweza kutengeneza ili ku guarantee a Yes as an answer
Ati china plaza? Ni mnyaki? Isije kuwa nilishapiga nae huyo 🤣🤣🤣🤣🤣Mara nyingi hua inanichukua mda sana kujenga urafiki na mdada hadi kufika hata ya kutafuna viungo vyake!
Kuna Moja nlitumia miezi mitatu 😁saiv napata non stop supply ya utelezi
Kuna moja kanipa namba zake mitaaa ya china plaza 😁kitu ya mbeya dadeq ana mtindi huo
Nkimaliza ntauza address yake Kwa mzabzab
Hata sijui ila ni mtu wa mbeya ngoja nimkande kwanza huenda limo humo linanisoma tu😁😁japo kwa nlivomsoma hawez jua jeiefuAti china plaza? Ni mnyaki? Isije kuwa nilishapiga nae huyo 🤣🤣🤣🤣🤣
Ndivyo walivyo hao [emoji1]Mie ilinitokea enzi niko chuo demu akasema tuwe marafiki nikakubali akawa rafiki nikatafuta demu mwingine akaanza kununa. Baadae nilimgongamo