The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Aise poleni CCM itatuuaSi tunapambana na na riz apa moro washatuchomea nyumba kama 200 tumpishe mwekezaji tupo bize kidogo tuache [emoji38] [emoji23] [emoji1] [emoji1787]
Mkiambiwa mlinde kura zenu mnasema hayawahusu, wacha CCM iwapeleke mperampera labda akili zitawakaa sawa sawa!Si tunapambana na na riz apa moro washatuchomea nyumba kama 200 tumpishe mwekezaji tupo bize kidogo tuache [emoji38] [emoji23] [emoji1] [emoji1787]
Yaonyesha weye ndio mwenyetatizoo🤔😀Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.
Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!
Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
Sasa kama 2020 tungelindaje wakati walikodiwa mpaka jeshi la Rwanda lije lilinde uhuni wao mkuu [emoji1] [emoji1787] [emoji23]Mkiambiwa mlinde kura zenu mnasema hayawahusu, wacha CCM iwapeleke mperampera labda akili zitawakaa sawa sawa!
Ila najua kupitia chama icho icho kuna siku watamteua kichaa mwingine atawageuka [emoji1] [emoji1787] [emoji23]Aise poleni CCM itatuua
Hapo nikuchagua kuishi au kufa.Sasa kama 2020 tungelindaje wakati walikodiwa mpaka jeshi la Rwanda lije lilinde uhuni wao mkuu [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.
Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!
Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
Bado wanapumua ni kuendelea kupiga spana1. Si Kanisa Katoliki, KKKT nk wenye kupinga uwekezaji. Wote wantamka hayo.
2. Hayupo anayeupinga mkataba huu aliyetamka anaupinga kwa sababu ya vionjo vyovyote vya dini.
3. Hayupo aliyechanganya udini popote kwenye kuupinga bali sababu zote zimewekwa wazi.
4. Angalia wenye kuu-unga mkono:
View attachment 2724958
Ninakazia:
"Wakemewe kwa nguvu zote wenye kuu-unga mkono kishabiki ikiwamo kwa misingi ya uchama, udini, ukanda (ubara au uzanzibari), kujuana, jinsia, nk."
Kama huyu aliwahi kua kiongozi wa taifa lenu nanyi mkaukubali uongozi wake, basi nchi hiyo ni jehanamuAisee mzee wetu katia aibu kubwa sana. Alichoongea hakina uhalisia wowote kwa sababu wanasiasa hawa hawa wanategemea sana kufanikisha mambo yao kupitia dini.
Yaani edo kumwembe amechambua vizuri sana sijajua nani alimwandalia ile hotuba huyu mzee kule mara.
View attachment 2724950
Tatizo zaidi ni kumwambia mtu ana matatizo bila kuonesha wapi lilipo tatizo lake.Yaonyesha weye ndio mwenyetatizoo🤔😀
Sasa kama ina mizizi mpaka chini ulitaka usikie nini? huo ndio ukweli wenyewe. ulitaka usikie nini?Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.
Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!
Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.