Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Hamna aliye Kawe atupe na video live?
Hekaheka ilivyo kule, ukisika wajeda wapo wa jirani unatoka nduki hata kama upo unalitendea haki gogo lazima.ukatishe faragha uwahishe roho yako sehemu salama.

Labda mtu ajipige video akikimbia🤣
 

Tutajuaje hizo picha ulizotuwekea zinahusiana na tukio la wanajeshi wa kawe?!
 
Nimeshataja source. Sijaweka link lakini ukienda mtandao X fanya kusearch Bartholomew Buyobe utakuta taarifa hii na picha.

Genuine source
Jamaa hadi kachezea hivyo itakua alikua mbishi ukiwa mbishi umekwisha lazima wakufanye chakula,
 
"Nitaanzisha kikosi kazi Cha madaktari wa ushauri nasaha na kitapita Kila familia ya wanajeshi kuangalia afya ya akili kama ipo sawa au laa! na kutoa kutoa ushauri na Tiba Ili jeshi liwapende raia na ushirikiano wa kizalendo"Mtia nia ya urais mwaka 2040!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…