Kuna majirani zangu ni matajiri ni wakemia by professional juices hz za viwandan nk Leo hii mmoja Ana 50 mke 47 mbona wanaish tu ikoje mkuu tuelimishane?? Ndo hao wamachameHiyo #1 hutaki kuishi?
Huoni wenzako wakisema humu hao ukioa wanakuuwa mkianza kupata mali?
Tangu lin mzaramo akawa serious na maisha🤒Kwahiyo sisi hujatuona au 🤒
Okee okeeTangu lin mzaramo akawa serious na maisha🤒
Mkuu mimi sijui maana hata mimi nimeoa huko mwaka wa 13 huu sijioni nikifa,labda muulize mdau Daudi1 alichokiandika post #9 anaweza akawa anajua zaidi.Kuna majirani zangu ni matajiri ni wakemia by professional juices hz za viwandan nk Leo hii mmoja Ana 50 mke 47 mbona wanaish tu ikoje mkuu tuelimishane?? Ndo hao wamachame
Mkuu mimi nimesema kile nimekiona huko mbezi, sasa na mtoa mada amesema ukitaka maisha yaende vizuri huko mbeleni, uoe kutoka kwenye hiyo mikoaMkuu mimi sijui maana hata mimi nimeoa huko mwaka wa 13 huu sijioni nikifa,labda muulize mdau Daudi1 alichokiandika post #9 anaweza akawa anajua zaidi.
Kataa ndoa hawaruhusiwi hapa umeingilia mlango ganiKuoa tena ya nini wakat sasa hivi ni kuzalisha tu kuongeza idadi ya singo maza mtaani wanao zurura hovyo 😂
Mkuu mbona unanitishaNimeshajichanganya kwa mchaga hapa stress kila kukicha
usiogope kufa kila mtu atakufa kibaya kutanguliaNimeshajichanganya kwa mchaga hapa stress kila kukicha
Kwa hiyo mkuu na mimi nipo huku Mbezi na nimeoa huko unataka kusema nimejibanika tayari watu wanaandaa kachumbari na mimi soon nitatembea?Mkuu mimi nimesema kile nimekiona huko mbezi, sasa na mtoa mada amesema ukitaka maisha yaende vizuri huko mbeleni, uoe kutoka kwenye hiyo mikoa
Hii kitu kweli usijichanganye aseMkuu mbona unanitisha
🤣🤣🤣🤣Kwahiyo sisi hujatuona au 🤒
Ishu syo kufa,mnaishi kama mke na mume lakini huoni uhalisia wenyeweusiogope kufa kila mtu atakufa kibaya kutangulia
Dah....! Yaani kwa makusudi kabisa umeamua kuingiza vijana wenzio chaka, unless if it's just a prank. Yaani umeamua kwenda kinyume kabisa na realities on the ground.Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
Mbeya Hiyo!Kwahiyo sisi hujatuona au 🤒
Mkuu Arusha mbona hakuna hapaaaaMikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
That's Y nimesema ruksa kukosoaDah....! Yaani kwa makusudi kabisa umeamua kuingiza vijana wenzio chaka, unless if it's just a prank. Yaani umeamua kwenda kinyume kabisa na realities on the ground.
Mchumba wangu ni mchaga kila mtu nikimuambia Mchumba wangu ni mchaga lazima agune na aniambie niwe makini, Sema kana jeuri kwa mbali japo sio sanaHii kitu kweli usijichanganye ase
🤣Ndugu yanguu 🙌🤣🤣🤣🤣