Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Mbona mikoa ya kusini wanaume wenye Mali hufa mapema kuliko wake zao ?Usirogwe.
Ukaona mikoa ya kusini na wewe Ni wakuja.
Ukitaka uje umwone shetani live oa mbeyaKwahiyo sisi hujatuona au 🤒
Ndiyo aseh ..Sasa hivi nipo masasi nakula mbususu tu za wamakuaUsirogwe.
Ukaona mikoa ya kusini na wewe Ni wakuja.
Mtao madam ni danga lenye digrii na gpi ya 2 .4Mmeshaanza maupumbavu yenu nyie wachaga, mnawashwagwa na nini kwanini msitulie? Na huo umaskini huko Rombo mbn hamtoboi na wote ni wachaga mmeoana. Acheni ulofa hiyo ni inferiority complex
Utakuwa masikini6.singidani
Warangi ni nomaa utakuwa unasaidiana sanaMbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
binti kiziwi mbona unacheka, unapenda kuogopwa?Hatari kwa afya.
Kwenye hiyo ndoa yako huna sauti,Kaka mimi nahisi nmerogwa tatizo anayonifanyia wakati wa kupambania kombe nkikumbuka machozi yanitoka walahi
Si unajua huwa kuna vitu nikiviona nacheka tu napita…?binti kiziwi mbona unacheka, unapenda kuogopwa?
Mikoa yote ya pwani usitarajie ndoa hukoHayo makabila ndoa zao zina desturi ya kufa na kuzikana moja kwa moja
Jichanganye kondoa irangi, mbulu, zaramo au ndegereko usikilizie mziki
Wanawake wa pwani hawafai kabisaMikoa yote ya pwani usitarajie ndoa huko
Hapo tegemea migogoro ya ndoa isiyoisha,utakua unashinda mahakamani daily6.singidani
Kama tulivyokubaliana kitanda hakizai haramu😂 hivyo kuwa mstahimilivu tu kikubwa mtoto awe mweupe kama mama yake tu.Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
We ni wa mavumbini mzee, kunywa bia zako za mwisho mwisho 😄Kwa hiyo mkuu na mimi nipo huku Mbezi na nimeoa huko unataka kusema nimejibanika tayari watu wanaandaa kachumbari na mimi soon nitatembea?
Mchumba wangu ni mchaga kila mtu nikimuambia Mchumba wangu ni mchaga lazima agune na aniambie niwe makini, Sema kana jeuri kwa mbali japo sio sana
Msambaa ukiwa na hela ndugu zako hawatakanyaga kwako😂! Ila wakwake watakuwa wanapishana daily kuja kwa shemeji.weka sababu, mbona wasambaa wako vizuri hawana shida, Wakuguru wanashida gani kwani mzee, wanyamwezi sijui, ila Wanyiramba 50 kwa 50 hata wao kwa wao waaigopana