Ukioa mwanamke mwanaharakati utaishi kwa machungu sana kwenye ndoa

Ukioa mwanamke mwanaharakati utaishi kwa machungu sana kwenye ndoa

Salamu zenu wakuu Wana JF,

Mwanaume fanya yote Ila usije ukaoa mwanamke mwanaharakati eti wanatetea haki zao kwenye Ndoa nao ni wapambanaji.

Mfano si mnaona mdada maarufu hapa mjini mama ntilie ndoa zinamshinda kwa harakati zake za kutaka kuwa juu ya mwanaume.

Wanawake wakikaa kwenye vikao vyao Kama malkia wanguvu, nguvu ya mwanamke na nk wanajadili jinsi ya kuwa juu ya mwanaume eti nao Wana haki zao,wanataka 50/50. Hawana hoja za maana, mbele za tv wanapeana tuzo ili tuwaone wapambanaji. Muoe Sasa utaona cha moto

Tabia za mwanamke mwanaharakati

* Wanataka haki sawa 50/50 Ila majukumu ya familia wanakimbia wanamuachia mwanaume,ni wapuuzi Sana baadhi yao ule upambanaji wao ni maneno tu na kununua vitu visivyo na msaada kwa familia.

* Wana tabia ya kuondoka au kwenda sehemu yeyote bila kumuaga mume wake akiamini anaishi kwenye kile anachokiamini haki sawa,Kuna video imesambaa Sana Instagram, facebook.jf ipo pia mwanamke ana jinadi ana haki ya kuondoka tu nyumbani bila kuaga anatoa tu taarifa na sio kumuaga mume wake ni upumbavu.

* Wanamke akishamiliki Mali zake mfano duka,nk anakuwa ana heshima kwa mume wake kisa ana weza kujisamia mwenyewe bila uwepo wa mume hapo lazima ndoa isiwe na amani, mwanamke mwanaharakati ataonesha kila aina ya dharau kwa mwanaume.

* Mwanamke mwanaharakati sio mama Bora kwenye familia kutwa nzima yupo kwenye matembezi anawatembelea wanawake wezao waliofanikiwa,wakifundishana jinsi ya kuwa juu kwa mwanaume,Wana msemo wao eti na sisi tunaweza, poor women.

* Wanawake wengine ni wafuata upepo wanasikiliza maneno ya wanawake waliofanikiwa,wanawake wengi waliofanikiwa hawapo kwenye ndoa either mjane au single mothers ndoa ilimshinda sababu ya harakati zake za haki sawa

Ndoa nyingi zenye wanawake Wana harakati hazidumu kila mwaka zinavunjika.

wanaume wanaoishi kwenye Ndoa na wanawake Wana harakati wanapitia mateso na dharau Sana, nimeshuhudia kwa macho yangu.

Mwanamke ata afanye Nini lazima ajishushe kwenye Ndoa sababu kichwa cha familia ni mwanaume.

Naomba kuwasilishaa 🙏
Labda TU hii dhana ya usawa watu hawaielewi.Kwangu Mimi naelewa hivi;Usawa ni Kati ya mvulana na msichana au mwanamke na mwanaume LAKINI SIO KWA mume na mke.
MKE na mume HAKUNA 50/50,mkuu.Niamini maana Mimi ni KE
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii ,Jinsia , watoto na makundi maalum Mhe Daktari Dorothy Gwajima akichangia bajeti ya ofisi ya PM bungeni leo hii 13/4/2023 amesema Serikali imezitaka

familia zijiimarishe kupambana mmonyoko wa maadili
Wanandoa wanagombea Mali wanazochuma na kudumaza maendeleo makuzi na malezi ya watoto.

Wanaume hawaripoti madawatu ya jinsia manyanyaso wanayopata Kutoka kwa wake zao hasa hao wengine waluojikuta wameoa wanawake wanaharakati.( Hapa nadhani Mhe Waziri hafahamu wanaume hawawezi kupeleka kesi ya mwanaharakati ikapelekwe kutatuliliwa na wanaharakati waliopo madawati ya jinsia kesi ya nyani unampelekea ngedere.

Serikali kuendeleza mikakati ya kuwatetea wanawake na watoto mpango mkakati wa kitaifa.

NASHAURI WIZARA YA MJJWM IJITAFAKARI MATOKEA YA MIKAKATI YA WIZARA YAKE KATIKA USTAWI WA JAMII ,JINSIA NA WATOTO , NASHAURI HII WIZARA IBADILISHWE IWE NI WIZARA YA MAENDELEO JAMII ,JINSIA, ,WATOTO NA MAKUNDI MAALUM

WIZARA ITOE WANAWAKE MAANA WAPO KATIKA IDARA YA JINSIA ,KUWE NA IDARA YA WATOTO ambao Sasa hivi ndio waathirika wakubwa wa mmonyoko wa maadili ,
Serikali kuona fact tu ya wanaume kukaa kimya au wanaume kujichukilia sheria mkononi na kutokuwa na mango mkakati wa kunusuru taasisi ya ndoa kuishia kuwatoa kasoro wanaume , WIZARA IJITAFAKARI UPYA HASA KATIKA MUKTADHA WA KUIMARISHA MAENDELEO YA JAMII YANALINDA TAMADUNI NA DESTURI ZETU KAMA TUNAVYOAMINISHWA KWAMBA SERIKALI INADHAMIRIA KUENZI TAMADUNI NA DESTURI ZA KITANZANIA BILA YA KUATHILIWA NA TAMADUNI ZA KIGENI AMBAZO SERIKALI HIZO ZA KIGENI KATIKA NCHI ZAO ZINAMAFUNGU YA KUTUNZA WANAWAKE NA WATOTO HATA KAMA NDOA ZITAVUNJIKA.
Serikali izimulike kwa jicho kali harakati za superwoman kama kweli serikali ina nia ya dhati kuzuia mmonyoko wa maadili na kuzuia viashiria vyote vinavyosababisha kushamiri kwa tabiaza mapenzi ya jinsia moja ,ushoga ,ulawiti ,talaka ,watoto wa mitaani ,magomvi na vifo kutokana magomvi ya changamoto za mahusioano,malezi na ndoa.
 
Hapo inategemea na akili ya mtu,kuna wanawake wanaojitambua ambapo harakati anazifanyia majukwaani lkn akirudi nyumbani ni full unyenyekevu kwa mumewe.
 
Back
Top Bottom