Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Siku utakapogundua alicho nacho huyo unae mwita nabii wa kwel kila mtu anacho , utakua umechelewa sana na yeye atakua kesha tajirika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninayo macho ya Rohoni na ya mwilini yaani hata wewe nikikaa na wewe Leo nakujua mpaka ukoo wako wote ..

Huyo Nabii Ninamjua mwilini na Rohoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…