Ukiona mpenzi wako anakuharakisha sana akupe utamu ujue ni sababu ya moja ya mambo haya

Pole Sana najua yamekupata
 
Kwa hiyo nikiwa na nudge zangu nijikalie kimya tu?

Wanaume siku hizi[emoji706]
 
Kuna demu nilikuwa namahusiano naye kipindi hicho nikuwa nakunywa sana pombe kunasiku nimekaa namwagilia moyo akani text uko wapi ninahamu ya kupigwa shock up nikamuelekeza tukutane wapi kwenye wallet nilikuwa na condom moja nilipofika hakukuwa na stori mguu mabegani kwasababu nilikuwa nimetumia vilevi vingi hicho cha kwanza ilichukua muda mrefu chakushangaza ile nimemaliza ananiambia condom imepasuka mimi kukagua iko fresh akawa amekosa poz tumekaa baada ya muda ananiambia turudie yamwisho nikamwambia sina condom ananiambia hamna shida hapo stimu zote kichwani zilikata nimwambia haiwezekani nilioga nikasepa zangu kula gambe Ila mshukuru Mungu nimeacha ulevi na miaka mingi imepita
 
Mkeo ndani ya nyumba akipanga kukupa mimba siyo yako utapewa tu bila wewe kugundua. Maisha ya mahusiano yachukulie poa tu ukiyakazia macho sana hata kufanya utafutaji hutoweza
 
Kuna mtu leo kapigwa na kitu kizito
 
Mkeo ndani ya nyumba akipanga kukupa mimba siyo yako utapewa tu bila wewe kugundua. Maisha ya mahusiano yachukulie poa tu ukiyakazia macho sana hata kufanya utafutaji hutoweza
Kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ