Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Sana najua yamekupataKuishi kwingi kuona mengi. Siku hizi ukiona mwanamke wako anakuharakisha na kukutamanisha sana kwa maneno matamu eti ana nyege sana au ana hamu sana na wewe ujue kuna mtego unataka kupigwa.
~ Mara nyingi huwa amefulia na anajua ukienda hutakosa kuacha chochote mfukoni.
~ Kubwa zaidi kuwa makini usiachiwe mimba isiyo yako.
Hata kama umesafiri atakwambia uwahi kurudi au kama hutorudi basi yeye akufate, huku akijua tarehe zinasonga na kwamba huenda kalenda unazomla zikapishana na alizoliwa na mshakaji ndivyo presha inazidi kupanda.
Sasa kama ni mwanamke mpya boya ataanza kujidai kuwa mwanamke kamzimikia, kalagha bahooo!
Wikiendi njema!
Asante mkuuPole Sana najua yamekupata
Sio ukar bali usiwe desparate sana. TumewashtukiaKwa hiyo nikiwa na nudge zangu nijikalie kimya tu?
Wanaume siku hizi[emoji706]
Sasa kama na nyie mna nyege aibu inatoka wapiHamna jema, tukitulia kama gogo mnasema, tukiwaambia maneno matamu pia mnahisi mtego aah acheni hizo kwani hizo nyege mmeumbiwa nyie tu?[emoji14]
Kuna mtu leo kapigwa na kitu kizitoKuishi kwingi kuona mengi. Siku hizi ukiona mwanamke wako anakuharakisha na kukutamanisha sana kwa maneno matamu eti ana nyege sana au ana hamu sana na wewe ujue kuna mtego unataka kupigwa.
~ Mara nyingi huwa amefulia na anajua ukienda hutakosa kuacha chochote mfukoni.
~ Kubwa zaidi kuwa makini usiachiwe mimba isiyo yako.
Hata kama umesafiri atakwambia uwahi kurudi au kama hutorudi basi yeye akufate, huku akijua tarehe zinasonga na kwamba huenda kalenda unazomla zikapishana na alizoliwa na mshakaji ndivyo presha inazidi kupanda.
Sasa kama ni mwanamke mpya boya ataanza kujidai kuwa mwanamke kamzimikia, kalagha bahooo!
Wikiendi njema!
KweliMkeo ndani ya nyumba akipanga kukupa mimba siyo yako utapewa tu bila wewe kugundua. Maisha ya mahusiano yachukulie poa tu ukiyakazia macho sana hata kufanya utafutaji hutoweza
😅😅😅
Ulikuwa hujui?Kumbe
KabisaUlikuwa hujui?
Habari ndio hiyoKabisa
Yapo sana tu. Kuna mwana leo kapost thread Mamayeyoo anataka miti kumbe anadaiwa pesa za mikopo😅😅Pole Sana najua yamekupata
Usisahau zabibu za watu mkuu kutoka hapo Dom.Ndio naandaliwa tukio
View attachment 2535446