Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
umeongea kama Majaliwa, nawaza tuHakuna kitu kama hicho
Yuko fiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeongea kama Majaliwa, nawaza tuHakuna kitu kama hicho
Yuko fiti
Kwake nchi gani?!Atahama Samia kwani siyo kwake hapa.
Nadhani huwa wanashughulikiwa. Ila mimi naona bora ushughulikiwe kwa kutaaa kuonea watu wasio na hatia.Wakitumwa then wakikataa kitatokea nini?
Utakufa utamuacha broJamanj si tuanze kuimba parapanda?
Whoever thinks it’s funny Tanzania kuwa taifa la misiba jua kabisa huyo haipendi tanzaniaHaya mambo ya kuwekeana sumu na kuuwana
Natabiri kuna watu watakuja kuuwawa na wananchi kwa mawe.
Kuna nn mjini wajuba tujuzeniHao mabwana wanazo mbinu nyingi za kulazimisha ushauri wao wa kizalendo utiliwe maanani.
Hiyo ya kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya habari, wanaharakati na wapinzani ni moja ya njia za awali tena za 'amani'.
Wakiona mambo yanaharibika sana basi watalazimika kutumia mbinu mbaya zaidi. Uwezo huo wanao.
Kwa hali ilipofika sasa ya safari za SIRI za kiongozi kuanikwa tena zikiwa kwenye hatua ya mipango inapaswa kuwa 'wake up call' kwa kiongozi husika.
Kumbuka, mamlaka ya kwenye karatasi hayana maana yoyote ikiwa wale unaowategemea ku enforce mamlaka yako hawako upande wako.
🙄🙄 kwa mara nyingine tenaJamanj si tuanze kuimba parapanda?
Mama mitano tena🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏Hao mabwana wanazo mbinu nyingi za kulazimisha ushauri wao wa kizalendo utiliwe maanani.
Hiyo ya kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya habari, wanaharakati na wapinzani ni moja ya njia za awali tena za 'amani'.
Wakiona mambo yanaharibika sana basi watalazimika kutumia mbinu mbaya zaidi. Uwezo huo wanao.
Kwa hali ilipofika sasa ya safari za SIRI za kiongozi kuanikwa tena zikiwa kwenye hatua ya mipango inapaswa kuwa 'wake up call' kwa kiongozi husika.
Kumbuka, mamlaka ya kwenye karatasi hayana maana yoyote ikiwa wale unaowategemea ku enforce mamlaka yako hawako upande wako.
Nilitafuta comments yako toka jana nipate neno lako.Nyingine wanavujishaga makusudi
Ila kuna moja nzito na I verify kwanza hapa
Nzito mno!
Nilitaka nichape Uzi Ila nikagundua kuna code ziko wazi sana nikauweka pending (Draft)
Ila nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
Britanicca
Ally Kibao alikuwa dini Gani!?Watz hamna akili,mnaombea kiongozi wenu afe? Kisa tu sio wasio wa dini yako,
Yeye mwenyewe anakula Pesa za masikini-OGOPA SANA MTU MASIKINI MAANA SIKU ZOTE DUA ZAKE NI ZA UCHURO TU, -
Bado mada yako haijatoa hoja ya kushawishi vya kutosha..Hao mabwana wanazo mbinu nyingi za kulazimisha ushauri wao wa kizalendo utiliwe maanani.
Hiyo ya kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya habari, wanaharakati na wapinzani ni moja ya njia za awali tena za 'amani'.
Wakiona mambo yanaharibika sana basi watalazimika kutumia mbinu mbaya zaidi. Uwezo huo wanao.
Kwa hali ilipofika sasa ya safari za SIRI za kiongozi kuanikwa tena zikiwa kwenye hatua ya mipango inapaswa kuwa 'wake up call' kwa kiongozi husika.
Kumbuka, mamlaka ya kwenye karatasi hayana maana yoyote ikiwa wale unaowategemea ku enforce mamlaka yako hawako upande wako.
Heshima yako Mzee! Huwa kila nikiona bandiko lako, huwa natulia tulii, nasoma silabi kwa silabi, neno kwa neno, sentensi kwa sentensi! Una madini mazito sana mzee! Kwa bandiko hili, nimekaa mguu sawa, macho mbele. Je, ndivyo ilivyooo!!?? Yangu masikio. Wasalaamu.Nyingine wanavujishaga makusudi
Ila kuna moja nzito na I verify kwanza hapa
Nzito mno!
Nilitaka nichape Uzi Ila nikagundua kuna code ziko wazi sana nikauweka pending (Draft)
Ila nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
Britanicca
Damu kwenye chupiKuna nini tena kimevuja?
Hapo solution ni kukataa kuwa recruited mpaka kuwe na nifumo ya Haki ilinyooka bila makunyanzi. Mwenye Haki kufanya kazi kwenye misingi isiyo ya Haki ni kama kukiweka chakula kisafi kwenye sahani chafu!Nadhani huwa wanashughulikiwa. Ila mimi naona bora ushughulikiwe kwa kutaaa kuonea watu wasio na hatia.
Mimi hizo kazi nilishazikataa. Kazi za kutumwa kama Mbwa;kama huyo, piga,teka yule na wewe unatii bila kulezwa kinagaubaga huyo mtu kweli anastahili kufanyiwa hayo. Nilishakataaaa.Hapo solution ni kukataa kuwa recruited mpaka kuwe na nifumo ya Haki ilinyooka bila makunyanzi. Mwenye Haki kufanya kazi kwenye misingi isiyo ya Haki ni kama kukiweka chakula kisafi kwenye sahani chafu!