Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

Majaliwa labda yule muokoaji ajali ya ndege, huyu wa sa100 kawa urojo kama bosi wake!.
Sawa tu na mbwa koko.
 
Uko sawa
1. JK Nyerere Burito
2. Edward Moringe Sokoine
3. Dr JP Magufuli
4. Benjamin William Mkpa
5. Kassimu Majaliwa
6. Rashid Mfaume Kawawa
7. Dr Omar Ally Juma
8. Sheikh Abeid Amani Karume
9. Chacha Wangwe
10. Dr. Senkondo Mvungi
11. Jaji Joseph Sinde Warioba
12. Bibi Titi Mohamed Salum Mandangwa
13.Maalim Seif Sharif Hamad
14. Samwel Sitta
 
Hapo namba 3 na namba 6 hapana, hakuna mtu wa hovyo kama TL na hakuna mtu muongo kama KM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…