Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 950
- 1,262
Acha kutuhusisha Watanzania kwenye upuuzi, usitusemeeNamba 1 na namba 6 ni sawa na kuwatukana watanzania matusi ya nguoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutuhusisha Watanzania kwenye upuuzi, usitusemeeNamba 1 na namba 6 ni sawa na kuwatukana watanzania matusi ya nguoni
Wewe devil worshiper wa Magufuli ndiyo unatutukanisha watanzania. Huwezi kumuweka huyo pimbi wa Chato kwenye mfananisho na Baba wa TaifaAcha kutuhusisha Watanzania kwenye upuuzi, usitusemee
UmenenaHabari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Hunizidi mimi master...yan natamani nimpige viboko kule aliko. Muuaji mkubwa!JPM namchukia,mimi huwa sipendi watu wabinafsi
JPM aliifanya hii nchi kama ni ya mama ake
Hebu mtoe hapo huyo kibaraka wa mabeberu.Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Baba yake anatokea wapi ?ni kweli mama yake anatoka Kagera na Kagera inapatikana ndani ya nchi hii hivyo mama yake ni nchi yake kama mimi na wewe tulivyo wa nchi hii japo ukihesabu vizazi vyako vitano asili yako inaweza kuwa sio wa nchi hii.
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Toa kabisa huyo muuaji namba 1 na jambazi kuu. Toa namba 5 huyo opportunist anayeendeshwa na kichwa cha delila. Toa number 6 Muongo mkuu wa karne Africa.Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Majaliwa hapana.Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
kwa hio mpangilio na majina uliyojaza hapo inaonekana hata siasa huzijui.Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Ukikariri ndo utajua jibu huwa ni moja tu.Mbona majibu yenu hayafanani, vipi tena?!
kabisaAcha kutuhusisha Watanzania kwenye upuuzi, usitusemee
Mtoe mmoja.Alikuwa faragosi.Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
HaterHafai hata kdg
9. Haji ManaraNaunga mkono
7. Chacha Wangwe
8. Maalim Seif