Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Umenena
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Hebu mtoe hapo huyo kibaraka wa mabeberu.
 
ni kweli mama yake anatoka Kagera na Kagera inapatikana ndani ya nchi hii hivyo mama yake ni nchi yake kama mimi na wewe tulivyo wa nchi hii japo ukihesabu vizazi vyako vitano asili yako inaweza kuwa sio wa nchi hii.
Baba yake anatokea wapi ?
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .

Vita ya kiuchumi manaaake hapo kwanza ncheke.
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Toa kabisa huyo muuaji namba 1 na jambazi kuu. Toa namba 5 huyo opportunist anayeendeshwa na kichwa cha delila. Toa number 6 Muongo mkuu wa karne Africa.
Bakiza
2. Mzalendo aliyejisahau hata mwenyewe
3. Mzalendo bora africa aliyediriki kuhatarisha maisha yake dhidi ya manyang'a waporaji wa raslimali na wauaji.
4. Msema kweli ambaye bado hajaanguka kwenye tuhuma
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Majaliwa hapana.
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
kwa hio mpangilio na majina uliyojaza hapo inaonekana hata siasa huzijui.
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Mtoe mmoja.Alikuwa faragosi.
 
mmemuelewa jembe Majaliwa ?
 
Back
Top Bottom