Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-
1.Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2.Hayati Mwalimu Julius Nyerere .

Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3.Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4.Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5.Wilbroad Slaa
Msema kweli

6.Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .

Umekuwa na tabia ya kumtaja Tundu Lisu ili kuupa uhalali mtazamo wako. Huyo Lisu umemtaja ili kumficha dhalimu humo ndani.
 
Wote ulio wataja ni wa shenzi na wazandiki
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-
1.Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2.Hayati Mwalimu Julius Nyerere .

Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3.Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4.Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5.Wilbroad Slaa
Msema kweli

6.Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Hapo nasitasita kuhusu slaa.
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-
1.Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2.Hayati Mwalimu Julius Nyerere .

Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3.Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4.Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5.Wilbroad Slaa
Msema kweli

6.Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Namba moja na namba mbili umenichefua sana tuanze na 1 alikuwa mtu wavisasi mwenyekujidia madaraka mfano sisi wavuvi tulimfanya nini ajira wasomi wamerundama kwenye utawala wake niayake kubwa ilikuwa kuuwa elimu watu waone haina maana kabisa alaniwe
Namba 2 hakupenda wasomi na alikuwa mdini sana alichagua kiswahili ilitusijitambue haya nimawazo yangu
 
We jamaa una vituko sana. Unachanganya malaika na mashetani halafu unalazimisha wapendwe wote! How?
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .

Unafiki pembeni.

Namba 1, Mungu anawapenda sana Watanzania, amewaondolea mzimu

Nasimama na Mwl na Lissu

Husein Mwinyi, wazenji watasimama badala yangu hapo
 
Namba 6 hafai hata kidogo Muongo kishenzi..Jiwe kilichomuharibia chawa
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Wewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.

Nyerere hii anaongelewa na calibre za akina Nelson Mandela, Nkrumah, Mahatma Gandhi nk.

Magufuli mjadili kwenye mada za akina Iddi Amin Dada, Mobutu Seseseko, Nguema na Bokassa
 
Mamba 1, ndio mtu shujaa pekee
aliyekuwa na mapenzi ya dhati kwa nchi yake na kwa watanzania wenzake kiasi cha kuto thamini maisha yake.
Na hakuwa mbinafsi.
 
Namba 5 pia angalau alionyesha uzalendo na asieshikiwa akili na walamba asali kiasi cha kuhama chama baada ya walamba asali kumkaribisha waliemuita fisadi na mwizi kuwa mgombea wa urais na hiyo ndio fact.
 
Back
Top Bottom