Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
MafisadiHivi hii "vita ya kiuchumi" adui yetu huwa ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MafisadiHivi hii "vita ya kiuchumi" adui yetu huwa ni nani?
Inashangaza sana kwa kweli.Kassim majaliwa[emoji23][emoji23][emoji23]
JPM namchukia,mimi huwa sipendi watu wabinafsi
JPM aliifanya hii nchi kama ni ya mama ake
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1.Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2.Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3.Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4.Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5.Wilbroad Slaa
Msema kweli
6.Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Mbowe alikuwa ofisini Kwake juzi kulamba asaliHafai hata kdg
kwenye siasa kuna kitu kinaitwa propaganda mtakuja kijua .jpm ondoa hilo ktk list alikua muuaji, dikteta na mtu asiyekua na staha
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Hapo nasitasita kuhusu slaa.Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1.Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2.Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3.Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4.Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5.Wilbroad Slaa
Msema kweli
6.Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Namba moja na namba mbili umenichefua sana tuanze na 1 alikuwa mtu wavisasi mwenyekujidia madaraka mfano sisi wavuvi tulimfanya nini ajira wasomi wamerundama kwenye utawala wake niayake kubwa ilikuwa kuuwa elimu watu waone haina maana kabisa alaniweHabari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1.Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2.Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3.Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4.Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5.Wilbroad Slaa
Msema kweli
6.Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Tuliza akili kidogo kama unazo, kwani wewe mamayako hii sio nchiyake, ama mamaako sio mtanzania.JPM namchukia,mimi huwa sipendi watu wabinafsi
JPM aliifanya hii nchi kama ni ya mama ake
Unadhani hatuna uwezo wa kujua propaganda na ukweli?kwenye siasa kuna kitu kinaitwa propaganda mtakuja kijua .
Namba 1 na namba 6 ni sawa na kuwatukana watanzania matusi ya nguoni
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Wewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .
Mfano wao ni kama wafuatao :-
1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .
2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora
5. Wilbroad Slaa
Msema kweli
6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi
Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .