Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
We mwenyewe umesha jitathmini?
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
No. 1 namchukia sababu alikuwa kichaa, jambazi, fisadi, muuaji na rais wa hivyo kuwahi kutokea tangu uhuru
 
Umekuwa na tabia ya kumtaja Tundu Lisu ili kuupa uhalali mtazamo wako. Huyo Lisu umemtaja ili kumficha dhalimu humo ndani.
Nami nlitaka niseme km hivyo.
Yaani huyu jamaa kutwa kucha anahangaika kujaribu kuficha aibu za Dictator Magufuli.

Sasa kwa kutuzuga eti anamchomeka na Lisu ili ku neutralise ushenzi wa yule Ibilisi
 
kwenye siasa kuna kitu kinaitwa propaganda mtakuja kijua .
Km ni propaganda tuambie ukweli wewe basi, wapi Ben Sanane?
Nani alimdungua marisasi Lisu?

Tuambie kufuta unachokiita propaganda
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Mkuu, chuki ni huruka tu ya mtu huwa tunaichukulia kama udhaifu. Jpm, Tundu Lissu and J.k Nyerere they'll always in memory.
 
ni kweli mama yake anatoka Kagera na Kagera inapatikana ndani ya nchi hii hivyo mama yake ni nchi yake kama mimi na wewe tulivyo wa nchi hii japo ukihesabu vizazi vyako vitano asili yako inaweza kuwa sio wa nchi hii.
Baba yake ni wa wapi?
 
3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo
Huyu onload kabisa tupa kule, hakuna chochote cha maana toka kwake. Na huo unaouita ujasiri wala siyo ujasiri, ni matokeo ya skruu fulani kulegea na dishi kuyumba. Kama unataka kuhakikisha basi mtaani ukaanzishe vagi na chizi, utauona mziki wake.
 
Huyu onload kabisa tupa kule, hakuna chochote cha maana toka kwake. Na huo unaouita ujasiri wala siyo ujasiri, ni matokeo ya skruu fulani kulegea na dishi kuyumba. Kama unataka kuhakikisha basi mtaani ukaanzishe vagi na chizi, utauona mziki wake.
Umbwa wewe.alivompelekesha marehemu mpaka akakata moto na nileeeteni gwaaajima nileeeteni gwajima.TL si mchezo
 
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya hivyo ,Watu hawa huwezi wachukia hata wawe na mapungufu mengine .

Mfano wao ni kama wafuatao :-

1. Hayati JPM
Alipigana vita ya kiuchumi ambayo ni watu wachache sana wanaweza kujitoa .

2. Hayati Mwalimu Julius Nyerere .
Pamoja na kuwa kwenye Nafasi nzuri hakujilimbikizia Mali

3. Tundu Antipas Lissu
Jasiri na Mwenye msimamo

4. Rais Hussein Mwinyi
Kiongozi Bora

5. Wilbroad Slaa
Msema kweli

6. Kassim Majaliwa
Mzalendo na Mchapakazi

Hawa watu ukiona Hata mmoja wao unamchukia basi huenda una shida sehemu Jitathmini .
Kama unataka tuendelee na mjadala futa huyo No.6 Kwanza.
 
Back
Top Bottom