abrahamkombe
Member
- May 31, 2020
- 28
- 26
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Wanaosifu wauwaji wa wanaotofautiana nao kimawazo tabia ya wivu kuzulumu kuwa mwongo na mkabila kunaondoa sifa unazotamani wasiokuwepo wawe nazo Hafai hata ukimpamba kwa dhahabu. Alikuwa hai yaaniMabeberu