Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia😂Kuna ka raha fulani tunapata tukihonga
Hatutaki kukakosa hako ka raha...😁
nimekuelewa sana kujikaza mwenyewe labdauwe umeshkika kwelikweli hahahahaNimecheka sana.kujikaza ni kipaji, no wonder wengine wanaona bora watafute watu wa kuwakaza
Nidham ya pesa ni kitu kinatusumbua wengi sana..nimekuelewa sana kujikaza mwenyewe labdauwe umeshkika kwelikweli hahahaha
Tusipozitumia mnadai hatuna helaTumia pesa ikuzoee
😂😂aaah mwambieni bwanaUnazifataje na kuna bia tamu, ukikaa kidogo unasikia huyu demu wake nanii, mara hauna baya tajirii 😂
Ni hatari ogopaaa.😂😂aaah mwambieni bwana
😂😂😂 dah! Juma3 - ijumaa ni ndefu kwa muhindiMara moja moja sio mbaya, sasa we kila wikiendi unasogea manyara kwani we vumbi?
😂😂😂.,.! KulaaaaEat that money.............🤣🤣🤣🤣🤣
Hii tunaita....kupata hela sio tatizo....Mchoro umetiki umepata kazi ukalipwa million hela haichukui siku mbili ya tatu chali umebaki na hewa hamna kitu ila ka elfu ulichobakiza kanadumu hata siku nne bila shida, unakabembeleza leo 2000, kesho umetumia 3000 keshokutwa 3000 na nyumbani hutoki siku nzima.
Kwanini hatuna ile roho ya kwamba hela imeingia Tayari ni yangu kwa sasa niachane nayo hiyo millioni nianze kusuka michongo mingine ya kupata nyingine.Hata kama kazi na bata ila million nyingi ukiwekeza kula nyama Choma na vya kunoga noga walahu ufaidi hata week tatu basi ila Duuh sio poa yaani siku tatu unabakia lofa.
😂 ndio fanya saving baada ya muda nawewe uwe muhindi vinginevyo utashika mabango uzeeni kupambania mafao.😂😂😂 dah! Juma3 - ijumaa ni ndefu kwa muhindi
Mathayo 6 (Biblia Takatifu)Kwana hata Yesu si alituthibitishia hili,nashauri watu wasome maandiko [emoji23]
😂 hao ndio wale hakuna mfuko wa cement kwa tsh 2,000, kula bia.
InaitwaMchoro umetiki umepata kazi ukalipwa million hela haichukui siku mbili ya tatu chali umebaki na hewa hamna kitu ila ka elfu ulichobakiza kanadumu hata siku nne bila shida, unakabembeleza leo 2000, kesho umetumia 3000 keshokutwa 3000 na nyumbani hutoki siku nzima.
Kwanini hatuna ile roho ya kwamba hela imeingia Tayari ni yangu kwa sasa niachane nayo hiyo millioni nianze kusuka michongo mingine ya kupata nyingine.Hata kama kazi na bata ila million nyingi ukiwekeza kula nyama Choma na vya kunoga noga walahu ufaidi hata week tatu basi ila Duuh sio poa yaani siku tatu unabakia lofa.