Ukipewa nafasi ya kumuondoa Waziri mmoja madarakani kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ungemuondoa nani?

Sina shaka Mawazuri wanamfurahisha na kukidhi matakwa ya mteuaji kwa vitendo.

Mimi ningeomba aliyewateua hao mawaziri mizigo ajitumbue
 
Nape Nnauye
 
Umeme na Maji
 
Hata ungemuondoa Samia haisaidii kitu. Shida tuliyonayo sio waziri mmoja au wawili, shida ni ccm.
 
I think to be honest,

Mawaziri na manaibu waziri wote Tanzania wanatekeleza wajibu na majukumu yao kikamilifu sana kwa weledi, kasi na viwango vya juu mno.

Chuki na gubu binafsi ndio tatizo la wakosoaji wengi wa utendaji wa mawaziri humu nchini.

hata hivyo hali hiyo haikwepeki hususani kwa kiongozi yeyote mwenye dhamana ya uongozi kisiasa kwa umma 🐒

Muhimu kwa kiongozi makini ni kuchapa kazi kwa bidii sana, bila kuzingatia au kujali eruptions za deconstructive criticism bali kuzingatia constructive criticisms na kusonga mbele mwendo wa ngiri 🐒


R.I.P Laigwanani comrade ENL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…