Ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukaamua kuinyonya, kulamba na kunywa mchuzi wake utakuwa hauna kosa?

Ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukaamua kuinyonya, kulamba na kunywa mchuzi wake utakuwa hauna kosa?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Eti wadau ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukaamua kuinyonya, kuilamba na kunywa mchuzi wake utakuwa umevunja kanuni?

Case study Haji manara! Sikio la kufa!
Kaonekana akitangaza leo taifa, kwa haiba yake akiguswa na TFF atakuwa kaonewa? Tueleweshane hapo! AU makundi maalum wanaruhusiwa kuvunja sheria!
 
Eti wadau ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukasmua kuinyonya, kuilamba na kunywa mchuzi wake utakuwa umevunja kanuni?
Case study Haji manara! Sikio la kufa!
Au kwa haiba yake akiguswa atakuwa kaonewa? Tueleweshane hapo!
Huyu jamaa ana psychological disorder ya hali ya juu sana, bad enough inasikitisha uongozi wa Yanga unalea hii takataka. Nimeishi Yanga miaka mingi sana hiki kituko sijawai ona.
 
Mimi Nadhani tff ni kitawa cha yanga kinachokukontoriwa toka mahali na kikundi cha kihuni chini ya mkandarasi ,ngoja tuone kama kuna issue itayouza magazeti ya kesho.ngoja juma 3 simba a.k.a Ukraine tujibu mapigo ya #Unstoppable
 
african_maasai_masai_handmade_war_club_rungu_olive_wood_kenya_09_1_thumb2_lgw.jpg
 
Eti wadau ukipigwa marufuku kula nyama kwa miaka miwili halafu ukaamua kuinyonya, kuilamba na kunywa mchuzi wake utakuwa umevunja kanuni?

Case study Haji manara! Sikio la kufa!
Kaonekana akitangaza leo taifa, kwa haiba yake akiguswa na TFF atakuwa kaonewa? Tueleweshane hapo! AU makundi maalum wanaruhusiwa kuvunja sheria!
Unajua kama wanalunyasi🦁siku zote ni wanaaa🚶
 
Yanga=CCM=serikali=sensa=posho
Tafuta hata kale ka Card ka uvccm kaka ufanye kuzugia ulambe asali vinginevyo utaish kusindikiza watanzania, Huoni kama hao jamaa ulowataja wanafanana rangi/jez.
 
Back
Top Bottom