Ukipokea Ujumbe Huu wa Rais Samia Kuhusu Kesho, Usikae Nao, Sambazia na Wengine!. Kesho Kazi ni Moja Tuu!, ni Unachukua...Unaweka...!.

View attachment 3162301

Nipo njiani kuwapelekea zawadi ndugu zangu.

Hakuna kama mama, ndio ukweli.

Nambari wani weeh, nambari wani nambari wani ni …,.

Mengine kuchangamsha jukwaa la siasa tu.
Kucheka siwezi, kuhudhunika haitoshi; hata kukasirika haisaidii kitu. Labda tubaki tu tukishangaa!

Hiyo ramani inagusa sana hisia, ukiisoma kwa uangalifu.
 
Hizo namba zenu wanapata wapi?
 
Kucheka siwezi, kuhudhunika haitoshi; hata kukasirika haisaidii kitu. Labda tubaki tu tukishangaa!

Hiyo ramani inagusa sana hisia, ukiisoma kwa uangalifu.


Sijui nikusaidie vipi mimi nipo njiani na mzigo wangu kuwakumbusha ndugu zangu wana ya kuwa CCM ni chama na chama sio mtu bali watu.

Hayo mambo yenu ya umungu mtu ndani ya CDM mnaweza yamaliza wenyewe

MaCCM yanakera, Iła CCM chama; nipo njiani kwenda kuwakumbusha ndugu zangu CCM chama.
 
Utakapo kuwa upo hapa, usisahau kuitumia fursa wanayo itumia wana CCM wenzako, wa kufaidi hayo mapesa ya wajomba yanayo mwagika kama mvua toka mbinguni.
Lakini kumbuka; kuna uwezekano wa kutekwa na kupotezwa pia kama unaleta kichwa ngumu toka huko uliko sasa.
 
Tunafahamiana sana hata kabla hajawa rais, ukihitaji number yake njoo tuu inbox nakupatia, ila usipige simu, unatuma tuu text, yeye ndio atakupigia.
P
Sina haja na namba ya rais mkuu, sasa mimi nikioata namba ya Samia nitaongea naye nini?

Mimi nilikuwa naitwa na balozi Mahiga kwenda kukutana na Rais Kikwete nyumbani kwa balozi, kwa heshima ya balozi Mahiga nilikuw anampa udhuru tu kuwa nipo kazini ila sikutaka tu kukutana na Kikwete.

Nimeanza kutembea corridors za Ikulu tangu nipo tumbomi mwa mama yangu, sina shida ya kushobokea wakubwa wa nchi.

Ninapenda kujua kama watu wote wanaotumiwa text hizi wanafahamiana hivyo na rais au vipi?
 
YANGA WAMEFUNGWA KWA MARA NYINGINE.
WATAENDELEA KWA MARA NYINGINE.
 



Kaka nipo njiani kweli kwenda kuwambusha ndugu na jamaa CCM ni chama.

Yaani huko Tanzania wala usiangaike na mimi, kwanza kuna watu wakijua tu una ugomvi na mimi kwa jinsi wanavyonijua nilivyo mstaarabu wananunua wao huo ugomvi.

Anyway it’s not about me, mimi
nipo njiani kuwakumbusha ndugu kuna watu wachonganishi tu Iła Samia anatosha.
 
You know, kuna mambo ya kufanya utani juu yake. Mstari wangu wa mwisho huwa ni kwenye maswala haya ya chama na viongozi wake kuwafanya waTanzania kuwa kama majuha.

Kwa hiyo, tafadhari, hili tuliachie hapa. I have no care in the world who is concerned, whether it is CHADEMA or CCM. There should be no stupidity as far as the welfare of Tanzania is involved.
 
Salaleh mkwala heavy kusoma tu inabidi ukubali yaishe 🙌🏿
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…