Hapana, hiyo ni too general.Namba ni kwa ajili ya mawasiliano. Ukiacha namba yako ni dhahiri umekubali mawasiliano ya aina yoyote ile either kwa texts au calls. Namba yako ni namna ya wao kukufikia wewe.
Hapana, katika nchi za kidemokrasia rais hayupo juu ya sheria.Rais yuko juu ya sheria.
Dharau tu unazo kwamba hakuna ………..?Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Sasa unaposema ni ccm ni chama cha maana unamaanisha nini, badala ya kusema ni chama dola? Tena washukuru bado watu hawajapata akili ya kina John Garang, Savimbi nk. Waendelee kutumia dola kuumiza wapinzani wasio na silaha, siku watu wakipata akili hiyo mtafurahia show. Na kwenye zoezi hilo tutaanza na nyie chawa.No CCM hakitegemei dola kusalia madarakani kwasababu CCM ni dola!.
P
Hapana, hiyo ni too general.
Kuna watu wanaacha namba kwa sababu ya emergency lakini hawataki kusumbuliwa na matangazo ya biashara.
Wewe umelundika kila kitu
Hizo texts wanatumiwa wanachama tu na ni jambo la kichama na ni text moja tu ya kupewa taarifa ya kuchagua wagombea wao kivipi iwe usumbufu?Hapana, hiyo ni too general.
Kuna watu wanaacha namba kwa sababu ya emergency lakini hawataki kusumbuliwa na matangazo ya biashara.
Wewe umelundika kila kitu pamoja.
Hivyo ndio inavyotakiwa kuwa, lakini hapa kwetu hiyo iko kinadharia zaidi.Hapana, katika nchi za kidemokrasia rais hayupo juu ya sheria.
Nilizania mtu kama wewe unaweza pata platform hata BBC AU VOA ila ni hakuna kitu, ni yale yale maisha ya kujikomba,Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Ama hujaelewa hoja yangu, ama unaodogosha makusudi.Hizo texts wanatumiwa wanachama tu na ni jambo la kichama na ni text moja tu ya kupewa taarifa ya kuchagua wagombea wao kivipi iwe usumbufu?
Tutashuhudia uchawi wa msukuma Pascal na mmalila Lucas mkirogana kuhusu anayetakiwa kuwa msemaji rasmi wa Samia.Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Kwake yeye yote hayo potelea pote muhimu mshiko wa kujaza tumbo lake, "WHOSE LIFE IS IT ANYWAY".Elimu kubwa, exposure kubwa,uelewa mkubwa juu ya namna mifumo ya ccm inavyo kandamiza haki za raia kuchagua ,LAKINI MAYALLA BADO ANASHABIKIA CCM NA KUHIMIZA WENGINE WAFANYE HIVYO.
Inawezekanaje mwandishi wa habari mkongwe kama Pascal,mwenye sifa zote hizo aendelee kukumbatia waovu ?
Acha kuleta mchezo wako wa kucheza na maneno. Ruhusa ipi wakati walijiandikisha kwa ridhaa yao na namba wakatoa ulitaka wawasiliane nao vipi? Hizo texts hawajatumiwa watanzania wote. Na sio texts tu hata wangeamua kuwapigia simu kuwapa hilo dokezo wangefanya ilimradi wawafikie. Tafuta hoja nyingine hii umepuyanga!Ama hujaelewa hoja yangu, ama unaodogosha makusudi.
Hao wanavhama wametoa ruhusa kutumiwa text?
Kuwa wanachama si kutoa ruhusa kutumiwa text ya kampeni, hata moja.
Kama wangekuwa hawataki huo usumbufu basi wasingechagua au kukubali kutoa namba zao ili wasitafutwe kwa namna yoyote ile.Ama hujaelewa hoja yangu, ama unaodogosha makusudi.
Hao wanavhama wametoa ruhusa kutumiwa text?
Kuwa wanachama si kutoa ruhusa kutumiwa text ya kampeni, hata moja.
Hatuwezi kuelewana kwa sababu tupo katika dunia mbili tofauti.Acha kuleta mchezo wako wa kucheza na maneno. Ruhusa ipi wakati walijiandikisha kwa ridhaa yao na namba wakatoa ulitaka wawasiliane nao vipi? Hizo texts hawajatumiwa watanzania wote. Na sio texts tu hata wangeamua kuwapigia simu kuwapa hilo dokezo wangefanya ilimradi wawafikie. Tafuta hoja nyingine hii umepuyanga!
Mtu anaweza kutoa namba kama emergency contact, tena kwa voive call tu, lakini hilo halimaanishi karuhusu namba itumiwe text messages za campaign.Kama wangekuwa hawataki huo usumbufu basi wasingechagua au kukubali kutoa namba zao ili wasitafutwe kwa namna yoyote ile.
Ipitishwe tu sheria ya kuviondoa vyama vilivyopo na kuweka mkazo kwa chama kimoja, huku kupotezeana muda na rasilimali kwa propaganda za kidemokrasia uchwara kila leo inakuwa heri jana kuliko leo!Wanabodi
Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”
Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...
Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.
Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.
Nawatakia uchaguzi mwema.
Paskali.
Wewe ndiye huelewi. laiti ungejua kujiandikisha na kutoa namba ni sehemu tosha ya hiyo consent unayoongelea. Usichambe sana mkuu utatoka na kinyesi.Hatuwezi kuelewana kwa sababu tupo katika dunia mbili tofauti.
Mimi nipo katika dunia ya watu wenye individual autonomy na liberty, wewe unaishi kwenye dunia ya watu wasiojua hata uhuru wao wenyewe ni nini.
Wewe huelewi hata consent ni nini.
Hatuwezi kuelewana.
Kutoa namba si consent ya kutumiwa text messages za campaign. Text message za campaign zinahitaji consent iliyo explicit and unambiguous.Wewe ndiye huelewi. laiti ungejua kujiandikisha na kutoa namba ni sehemu tosha ya hiyo consent unayoongelea. Usichambe sana mkuu utatoka na kinyesi.
Muktadha wa kupeana namba na ujumbe wa hiyo text vinawiana kabisa sababu ni mtu na chama chake na wanataratibu zao kama chama, lakini bado maamuzi anayo yeye mwenyewe sababu atapiga kura mwenyewe. Ila hilo ruhusa na usumbufu hapana!Mtu anaweza kutoa namba kama emergency contact, tena kwa voive call tu, lakini hilo halimaanishi karuhusu namba itumiwe text messages za campaign.
In nutshell Pascal Mayalla ni tapeli. Hiyo wala huhitaji kujiuliza mara mbili. Hata yeye mwenye anajua.Paschal siamini kama umeishi Ulaya mkuu yaani bora mtu aliyekulia Engusero asee anajitambua kidogo