Ukipokea Ujumbe Huu wa Rais Samia Kuhusu Kesho, Usikae Nao, Sambazia na Wengine!. Kesho Kazi ni Moja Tuu!, ni Unachukua...Unaweka...!.

Ukipokea Ujumbe Huu wa Rais Samia Kuhusu Kesho, Usikae Nao, Sambazia na Wengine!. Kesho Kazi ni Moja Tuu!, ni Unachukua...Unaweka...!.

Namba ni kwa ajili ya mawasiliano. Ukiacha namba yako ni dhahiri umekubali mawasiliano ya aina yoyote ile either kwa texts au calls. Namba yako ni namna ya wao kukufikia wewe.
Hapana, hiyo ni too general.

Kuna watu wanaacha namba kwa sababu ya emergency lakini hawataki kusumbuliwa na matangazo ya biashara.

Wewe umelundika kila kitu pamoja.
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Dharau tu unazo kwamba hakuna ………..?
 
No CCM hakitegemei dola kusalia madarakani kwasababu CCM ni dola!.
P
Sasa unaposema ni ccm ni chama cha maana unamaanisha nini, badala ya kusema ni chama dola? Tena washukuru bado watu hawajapata akili ya kina John Garang, Savimbi nk. Waendelee kutumia dola kuumiza wapinzani wasio na silaha, siku watu wakipata akili hiyo mtafurahia show. Na kwenye zoezi hilo tutaanza na nyie chawa.
 
Hapana, hiyo ni too general.

Kuna watu wanaacha namba kwa sababu ya emergency lakini hawataki kusumbuliwa na matangazo ya biashara.

Wewe umelundika kila kitu
Hapana, hiyo ni too general.

Kuna watu wanaacha namba kwa sababu ya emergency lakini hawataki kusumbuliwa na matangazo ya biashara.

Wewe umelundika kila kitu pamoja.
Hizo texts wanatumiwa wanachama tu na ni jambo la kichama na ni text moja tu ya kupewa taarifa ya kuchagua wagombea wao kivipi iwe usumbufu?
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Nilizania mtu kama wewe unaweza pata platform hata BBC AU VOA ila ni hakuna kitu, ni yale yale maisha ya kujikomba,
 
Hizo texts wanatumiwa wanachama tu na ni jambo la kichama na ni text moja tu ya kupewa taarifa ya kuchagua wagombea wao kivipi iwe usumbufu?
Ama hujaelewa hoja yangu, ama unaodogosha makusudi.

Hao wanavhama wametoa ruhusa kutumiwa text?

Kuwa wanachama si kutoa ruhusa kutumiwa text ya kampeni, hata moja.
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Tutashuhudia uchawi wa msukuma Pascal na mmalila Lucas mkirogana kuhusu anayetakiwa kuwa msemaji rasmi wa Samia.
 
Elimu kubwa, exposure kubwa,uelewa mkubwa juu ya namna mifumo ya ccm inavyo kandamiza haki za raia kuchagua ,LAKINI MAYALLA BADO ANASHABIKIA CCM NA KUHIMIZA WENGINE WAFANYE HIVYO.
Inawezekanaje mwandishi wa habari mkongwe kama Pascal,mwenye sifa zote hizo aendelee kukumbatia waovu ?
Kwake yeye yote hayo potelea pote muhimu mshiko wa kujaza tumbo lake, "WHOSE LIFE IS IT ANYWAY".
 
Ama hujaelewa hoja yangu, ama unaodogosha makusudi.

Hao wanavhama wametoa ruhusa kutumiwa text?

Kuwa wanachama si kutoa ruhusa kutumiwa text ya kampeni, hata moja.
Acha kuleta mchezo wako wa kucheza na maneno. Ruhusa ipi wakati walijiandikisha kwa ridhaa yao na namba wakatoa ulitaka wawasiliane nao vipi? Hizo texts hawajatumiwa watanzania wote. Na sio texts tu hata wangeamua kuwapigia simu kuwapa hilo dokezo wangefanya ilimradi wawafikie. Tafuta hoja nyingine hii umepuyanga!
 
Ama hujaelewa hoja yangu, ama unaodogosha makusudi.

Hao wanavhama wametoa ruhusa kutumiwa text?

Kuwa wanachama si kutoa ruhusa kutumiwa text ya kampeni, hata moja.
Kama wangekuwa hawataki huo usumbufu basi wasingechagua au kukubali kutoa namba zao ili wasitafutwe kwa namna yoyote ile.
 
Acha kuleta mchezo wako wa kucheza na maneno. Ruhusa ipi wakati walijiandikisha kwa ridhaa yao na namba wakatoa ulitaka wawasiliane nao vipi? Hizo texts hawajatumiwa watanzania wote. Na sio texts tu hata wangeamua kuwapigia simu kuwapa hilo dokezo wangefanya ilimradi wawafikie. Tafuta hoja nyingine hii umepuyanga!
Hatuwezi kuelewana kwa sababu tupo katika dunia mbili tofauti.

Mimi nipo katika dunia ya watu wenye individual autonomy na liberty, wewe unaishi kwenye dunia ya watu wasiojua hata uhuru wao wenyewe ni nini.

Wewe huelewi hata consent ni nini.

Hatuwezi kuelewana.
 
Kama wangekuwa hawataki huo usumbufu basi wasingechagua au kukubali kutoa namba zao ili wasitafutwe kwa namna yoyote ile.
Mtu anaweza kutoa namba kama emergency contact, tena kwa voive call tu, lakini hilo halimaanishi karuhusu namba itumiwe text messages za campaign.
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, na sio hivi vyama vingi jina, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, kwa kufanya an informed decisions to chose with choices, but very unfortunately, we dont have choices to chose from, kwa vile chama kwa maana ya chama ni chama kimoja tuu, then kesho, twendeni tuu kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Ipitishwe tu sheria ya kuviondoa vyama vilivyopo na kuweka mkazo kwa chama kimoja, huku kupotezeana muda na rasilimali kwa propaganda za kidemokrasia uchwara kila leo inakuwa heri jana kuliko leo!
 
Hatuwezi kuelewana kwa sababu tupo katika dunia mbili tofauti.

Mimi nipo katika dunia ya watu wenye individual autonomy na liberty, wewe unaishi kwenye dunia ya watu wasiojua hata uhuru wao wenyewe ni nini.

Wewe huelewi hata consent ni nini.

Hatuwezi kuelewana.
Wewe ndiye huelewi. laiti ungejua kujiandikisha na kutoa namba ni sehemu tosha ya hiyo consent unayoongelea. Usichambe sana mkuu utatoka na kinyesi.
 
Wewe ndiye huelewi. laiti ungejua kujiandikisha na kutoa namba ni sehemu tosha ya hiyo consent unayoongelea. Usichambe sana mkuu utatoka na kinyesi.
Kutoa namba si consent ya kutumiwa text messages za campaign. Text message za campaign zinahitaji consent iliyo explicit and unambiguous.

Sheria inataka si tu consent, bali pia mtu akitaka kujiondoa kwenye list ajiondoe muda wowote.

Sasa hizi text zina njia ya kujiondoa?

Soma sheria hapa.

In Tanzania, the "Personal Data Protection Act" (PDPA) governs information consent, requiring individuals to give clear and informed consent before their personal data can be processed, meaning that any collection or use of personal information must be done with the data subject's explicit agreement, and this consent can be withdrawn at any time; this act essentially mandates that consent cannot be considered a mere formality and must be freely given and unambiguous.

 
Kikubwa ni kwamba sifagilii siasa za kibongo. Nitabakia neutral tu na kesho ni siku ambayo ntaitumia kupumzika zaidi.
 
Mtu anaweza kutoa namba kama emergency contact, tena kwa voive call tu, lakini hilo halimaanishi karuhusu namba itumiwe text messages za campaign.
Muktadha wa kupeana namba na ujumbe wa hiyo text vinawiana kabisa sababu ni mtu na chama chake na wanataratibu zao kama chama, lakini bado maamuzi anayo yeye mwenyewe sababu atapiga kura mwenyewe. Ila hilo ruhusa na usumbufu hapana!
 
Back
Top Bottom