Ukipokea Ujumbe Huu wa Rais Samia Kuhusu Kesho, Usikae Nao, Sambazia na Wengine!. Kesho Kazi ni Moja Tuu!, ni Unachukua...Unaweka...!.

Ukipokea Ujumbe Huu wa Rais Samia Kuhusu Kesho, Usikae Nao, Sambazia na Wengine!. Kesho Kazi ni Moja Tuu!, ni Unachukua...Unaweka...!.

Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Kila mmoja atapiga kura kwa mgombea anayeona ana sifa zaidi ya wengine.
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Bado hawajakupa teuzi yoyote ?
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Acha kupotosha umma, ww ni msomi na una akili timamu, uchaguzi gani wakati wasimamizi wote ni makada watiifu wa ccm? Acha uchawa
 
Salaleh mkwala heavy kusoma tu inabidi ukubali yaishe 🙌🏿
P'se, do understand that right now there's a lot of sh*t going on,, where do you get the sense of satisfaction to even begin joking about it? This is a sad situation for all of us.
 
Elimu kubwa, exposure kubwa,uelewa mkubwa juu ya namna mifumo ya ccm inavyo kandamiza haki za raia kuchagua ,LAKINI MAYALLA BADO ANASHABIKIA CCM NA KUHIMIZA WENGINE WAFANYE HIVYO.
Inawezekanaje mwandishi wa habari mkongwe kama Pascal,mwenye sifa zote hizo aendelee kukumbatia waovu ?
Asali tamu sana mkuu
 
Hivi paskali hii timu kutoka Sudan iliyoichakaza yanga jina lake linatakwaje. Nakumbika ulipokuwa EA Radio ilikiwa mkali wa kutamka majina ya timu za ulaya.
Ukinisaidia hili tataangazia uchaguzi utakaofanyika hapo kesho kwa kina.
 
P'se, do understand that right now there's a lot of sh*t going on,, where do you get the sense of satisfaction to even begin joking about it? This is a sad situation for all of us.
Lakini si nimekuacha mkuu wacha na mimi nipeleke zawadi kwa ndugu zangu wa mjini kutoka kwa mama

IMG_7629.jpeg
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.

..pigieni kura wapinzani.

..Ccm wameongoza wenyewe toka 2019 na maisha hayana nafuu.

..na Mzee Hafizi aje amchukue tumechokaaa.
 
Lakini si nimekuacha mkuu wacha na mimi nipeleke zawadi kwa ndugu zangu mjiii kutoka kwa mama
Umeniacha bila ya kusikiliza/kusoma 'justification' ya hicho kilicho kufanya uniache? Ilikuwa ni haki yangu kukupa ufafanuzi huo. Ukitaka kuuelewa sawa, kama bado huelewi, hiyo pia ni haki yako.
Lakini sasa nime tosheka kufahamu kwamba unaelewa ninapo simamia. Inatosha.
 
Umeniacha bila ya kusikiliza/kusoma 'justification' ya hicho kilicho kufanya uniache? Ilikuwa ni haki yangu kukupa ufafanuzi huo. Ukitaka kuuelewa sawa, kama bado huelewi, hiyo pia ni haki yako.
Lakini sasa nime tosheka kufahamu kwamba unaelewa ninapo simamia.

Kinachoendelea sasa JF ni husda na majungu zidi ya raisi wetu mpendwa. Yakiongozwa na genge la wahuni moderators wa JF.
 
Watanganyika jiangalieni ninyi na familia zenu.Raia mlio katika nchi za kigeni msiwapoteze chaka watanganyika.
 
Kinachoendelea sasa JF ni husda na majungu zidi ya raisi wetu mpendwa. Yakiongozwa na genge la wahuni moderators wa JF.
Ukweli ni kuwa nilikuelewa toka bandiko lako la kwanza kabisa..., sasa tuendelee na mengine.
 
Huu sasa ni ukunguni na uchawa uliopitiza. Kama maisha yamekushinda sema badala ya kujidhalilisha mwanangu. Shame on you
 
Ukweli ni kuwa nilikuelewa toka bandiko lako la kwanza kabisa..., sasa tuendelee na mengine.
Dah shida sio wewe, Iła mods ni wachawi ujawajua tu.

Watanzania tunaenda na Samia Suluhu Hassan, mengine siada tu,
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
unachukuwa unaweka waaaa
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
Hivi wanao wamo humu JF?
 
Wanabodi

Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo
“Habari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA,
Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT.
Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CCM.
Chagua CCM ili tuendelee kukuletea maendeleo hadi mlangoni kwako, Asante.”

Ujumbe huu usambaze kwa watu wako wote na kuwakumbusha kuwa kesho kazi ni moja tuu, ni unachukua..., unaweka...

Japo watu wako huru kuchagua wagombea kutoka chama chochote, lakini kwa muktadha wa siasa za Tanzania, japo nchi yetu inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, lakini ukweli wa vyama kwa maana ya vyama, Tanzania tuna chama kimoja tuu cha siasa, the one and only, hivyo kazi ya kesho ni kazi moja tuu, kukichagua, kwa kuchagua wagombea wake.

Laiti Tanzania tungekuwa na vyama vingi kweli, ningewashauri watu wawachague wagombea wa vyama vyovyote, lakini kwa vile chama kwa maana ya chama ni tuna chama kimoja tuu, then kesho, twendeni kupiga kura na tukichague!.

Nawatakia uchaguzi mwema.

Paskali.
BIas
 
Back
Top Bottom