Ukishafika umri wa 35+ kuna sehemu za starehe achana nazo

Nakazia hata music penda bongo flavour za zamani na zilipendwa achana na kina harmonize, mario etal
 
Hivi miaka 30 ina nini eti, kila alie gonga thei kwenda juu ana panic fulani hivi, mbona mimi naitafuta 40 na sina wasiwasi wowote! Tena na kimwili kangu naonekana kwenye 20 hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ