Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Wakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Safi sana
The higher the risk .........


All the best hustler mwenzangu
 
Kwa msiojua na mnaoshangaa UTT haipo sana agressive kutafuta faida kubwa ila wanaplay safe ndo maana wanarange kwa faida ya 10-13% PA ila kwa hisa hususani za CRDB kuna zaidi ya hapo nitatoa mifano michache kwa wepesi kabisa ili nieleweke.

Binafsi ni mwanahisa wa CRDB kwa miaka kadhaa sasa na nitayoyasema hapa yanatokana na uzoefu wangu sokoni kwa nyakati tofauti. Pia nipo UTT-Ukwasi Fund.

1. Katika hisa zipo faida aina 2 (Gawio na ongezeko la thamani) Gawio ni pale bank itakavyopata faida na kupitia bodi kupitisha kiwango fulani kurudi kwa wawekezaji kama gawio. Mwaka jana CRDB tulipokea Tsh 50 kwa kila hisa 1 unayomiliki. Unaweza kuona Tsh50 ni pesa ndogo sana ila iko hivi ni ndogo au kubwa kutegemeana na wakati uliowekeza. Ninazo hisa ambazo nilinunua kwa Tsh 95 4yrs ago, Leo nikipokea Tsh 50 kwa kila Tsh 95 niliyowekeza hiyo ni zaidi ya 50% ROI.

2. Kuna capital gain au ongezeko la thaman hii ni pale hisa za Bank zinapopanda bei sokoni kutoka 100 to 200 ina maana kama uliwekeza 60m zikiwa zinauzwa kwa 100/share leo zimefika 200/share ukiuza zote tayari umetengeneza 120M bila kuweka magawio utakayokua unapokea kila mwaka. Mfano rahisi 2019/20 nilinunua hisa kwa Ths95 ila leo hisa hizo hizo zinauzwa kwa Tsh 700 sokoni.

Nikiangalia portfolio yangu tarehe kama ya leo 2023 imependa thamani kwa 49% kutoka thamani iliyokua mwaka jana. wakati huo huo UTT napokea 12% kwa mwaka mzima.

Ushauri wangu ni huu kwa wewe ambaye unataman kuwekeza katika hisa. Hakikisha unawekeza katika kampuni unayoielewa na kupitia brokers watakusaidia kuelewa ipi ni kampuni nzuri kuwekeza kulingana na malengo yako.

Pia ni muhimu uwe na malengo ya muda mrefu sababu huko ndo kweny mafanikio makubwa. Leo utanunua hisa kwa 700 utaona ni ghali ila niamini mimi baada ya miaka 5 utajilaumu sana kwa nini hukununua zaidi (mwenyew najilaumu leo kwa nini sikununua zaidi ilipokua 95) usifanye makosa kama yangu.

Hadi sasa CRDB imetengeneza faida zaidi ya 408B kwanzia January hadi Sept 2024 huu ni mwenendo mzuri kuelekea gawio lijalo May 2025.

Ikikupendeza tukutane Arusha AGM kwa story mbili tatu.
 
Kwa msiojua na mnaoshangaa UTT haipo sana agressive kutafuta faida kubwa ila wanaplay safe ndo maana wanarange kwa faida ya 10-13% PA ila kwa hisa hususani za CRDB kuna zaidi ya hapo nitatoa mifano michache kwa wepesi kabisa ili nieleweke.

Binafsi ni mwanahisa wa CRDB kwa miaka kadhaa sasa na nitayoyasema hapa yanatokana na uzoefu wangu sokoni kwa nyakati tofauti. Pia nipo UTT-Ukwasi Fund.

1. Katika hisa zipo faida aina 2 (Gawio na ongezeko la thamani) Gawio ni pale bank itakavyopata faida na kupitia bodi kupitisha kiwango fulani kurudi kwa wawekezaji kama gawio. Mwaka jana CRDB tulipokea Tsh 50 kwa kila hisa 1 unayomiliki. Unaweza kuona Tsh50 ni pesa ndogo sana ila iko hivi ni ndogo au kubwa kutegemeana na wakati uliowekeza. Ninazo hisa ambazo nilinunua kwa Tsh 95 4yrs ago, Leo nikipokea Tsh 50 kwa kila Tsh 95 niliyowekeza hiyo ni zaidi ya 50% ROI.

2. Kuna capital gain au ongezeko la thaman hii ni pale hisa za Bank zinapopanda bei sokoni kutoka 100 to 200 ina maana kama uliwekeza 60m zikiwa zinauzwa kwa 100/share leo zimefika 200/share ukiuza zote tayari umetengeneza 120M bila kuweka magawio utakayokua unapokea kila mwaka. Mfano rahisi 2019/20 nilinunua hisa kwa Ths95 ila leo hisa hizo hizo zinauzwa kwa Tsh 700 sokoni.

Nikiangalia portfolio yangu tarehe kama ya leo 2023 imependa thamani kwa 49% kutoka thamani iliyokua mwaka jana. wakati huo huo UTT napokea 12% kwa mwaka mzima.

Ushauri wangu ni huu kwa wewe ambaye unataman kuwekeza katika hisa. Hakikisha unawekeza katika kampuni unayoielewa na kupitia brokers watakusaidia kuelewa ipi ni kampuni nzuri kuwekeza kulingana na malengo yako.

Pia ni muhimu uwe na malengo ya muda mrefu sababu huko ndo kweny mafanikio makubwa. Leo utanunua hisa kwa 700 utaona ni ghali ila niamini mimi baada ya miaka 5 utajilaumu sana kwa nini hukununua zaidi (mwenyew najilaumu leo kwa nini sikununua zaidi ilipokua 95) usifanye makosa kama yangu.

Hadi sasa CRDB imetengeneza faida zaidi ya 408B kwanzia January hadi Sept 2024 huu ni mwenendo mzuri kuelekea gawio lijalo May 2025.

Ikikupendeza tukutane Arusha AGM kwa story mbili tatu.
Nimepata somo hapa 🙏🏻🙏🏻
 
Naombeni muda sahihi wakununa hisa za crdb na kupata gawio hapo hapo nataka nichukue walau hisa 100 kwa hiyo rate ya 700 per hisa najua baada ya 5yrs tunaweza pata hisa moja ni hata 1500 hivi
Kwa msiojua na mnaoshangaa UTT haipo sana agressive kutafuta faida kubwa ila wanaplay safe ndo maana wanarange kwa faida ya 10-13% PA ila kwa hisa hususani za CRDB kuna zaidi ya hapo nitatoa mifano michache kwa wepesi kabisa ili nieleweke.

Binafsi ni mwanahisa wa CRDB kwa miaka kadhaa sasa na nitayoyasema hapa yanatokana na uzoefu wangu sokoni kwa nyakati tofauti. Pia nipo UTT-Ukwasi Fund.

1. Katika hisa zipo faida aina 2 (Gawio na ongezeko la thamani) Gawio ni pale bank itakavyopata faida na kupitia bodi kupitisha kiwango fulani kurudi kwa wawekezaji kama gawio. Mwaka jana CRDB tulipokea Tsh 50 kwa kila hisa 1 unayomiliki. Unaweza kuona Tsh50 ni pesa ndogo sana ila iko hivi ni ndogo au kubwa kutegemeana na wakati uliowekeza. Ninazo hisa ambazo nilinunua kwa Tsh 95 4yrs ago, Leo nikipokea Tsh 50 kwa kila Tsh 95 niliyowekeza hiyo ni zaidi ya 50% ROI.

2. Kuna capital gain au ongezeko la thaman hii ni pale hisa za Bank zinapopanda bei sokoni kutoka 100 to 200 ina maana kama uliwekeza 60m zikiwa zinauzwa kwa 100/share leo zimefika 200/share ukiuza zote tayari umetengeneza 120M bila kuweka magawio utakayokua unapokea kila mwaka. Mfano rahisi 2019/20 nilinunua hisa kwa Ths95 ila leo hisa hizo hizo zinauzwa kwa Tsh 700 sokoni.

Nikiangalia portfolio yangu tarehe kama ya leo 2023 imependa thamani kwa 49% kutoka thamani iliyokua mwaka jana. wakati huo huo UTT napokea 12% kwa mwaka mzima.

Ushauri wangu ni huu kwa wewe ambaye unataman kuwekeza katika hisa. Hakikisha unawekeza katika kampuni unayoielewa na kupitia brokers watakusaidia kuelewa ipi ni kampuni nzuri kuwekeza kulingana na malengo yako.

Pia ni muhimu uwe na malengo ya muda mrefu sababu huko ndo kweny mafanikio makubwa. Leo utanunua hisa kwa 700 utaona ni ghali ila niamini mimi baada ya miaka 5 utajilaumu sana kwa nini hukununua zaidi (mwenyew najilaumu leo kwa nini sikununua zaidi ilipokua 95) usifanye makosa kama yangu.

Hadi sasa CRDB imetengeneza faida zaidi ya 408B kwanzia January hadi Sept 2024 huu ni mwenendo mzuri kuelekea gawio lijalo May 2025.

Ikikupendeza tukutane Arusha AGM kwa story mbili tatu.
 
Naombeni muda sahihi wakununa hisa za crdb na kupata gawio hapo hapo nataka nichukue walau hisa 100 kwa hiyo rate ya 700 per hisa najua baada ya 5yrs tunaweza pata hisa moja ni hata 1500 hivi
Kununua hisa unatakiwa kutumia akili mkuu sio kukurupuka. Hisa za CRDB zilikuwa 400 now 700 what if kama zimefikia mwisho wa ukuaji? Lazima ufuate ushauri wa wataalamu na pia nilazima ujipange kwa lolote sio kusema tu zitafika 1500 . Waulize watu wa hisa za voda wakupe ushuhuda
 
Nyumba mbili Dodoma wastani wa gharama kwa nyumba ni 75M
Kodi kwa nyumba ni 500,000 kwa mwezi

Baada ya miaka 10 utapewa 75 M ya bond kama ulivyo iweka
Baada ya miaka 10 nahakika nyumba zitakua zime double kama sio triple price

Kupanga ni kuchagua mkuu
Hivi unajua bond wanalipa interest?
 
Kununua hisa unatakiwa kutumia akili mkuu sio kukurupuka. Hisa za CRDB zilikuwa 400 now 700 what if kama zimefikia mwisho wa ukuaji? Lazima ufuate ushauri wa wataalamu na pia nilazima ujipange kwa lolote sio kusema tu zitafika 1500 . Waulize watu wa hisa za voda wakupe ushuhuda
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom