JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.
Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.
JPM alikuwa anasikiliza wananchi na kelo zao kisha anatoa maelekezo kwa wasaidizi wake. Ziara za JPM zilikuwa na watazamani mamilioni.
Leo ziara ya samia imejazwa na mabango ya wakulima ili kumjibu bashiru.
SAMIA shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.
Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.
JPM alikuwa anasikiliza wananchi na kelo zao kisha anatoa maelekezo kwa wasaidizi wake. Ziara za JPM zilikuwa na watazamani mamilioni.
Leo ziara ya samia imejazwa na mabango ya wakulima ili kumjibu bashiru.
SAMIA shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.