FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
Badala ya kutuonyesha wedi kapu, sijui ni vitu gani hizi anatufanyia humo TBC. Kupandisha watu presha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jpm alitatua kero zipi badala yake aligeuka kuwa kitisho kwa jamii na taifaAsifiwe na atatue kero pia.
Serikaki ya jpm na genge lake ndio ilikuwa ya kifisadi kuliko zoteNdiyo maana serikali inawakomesha kwa kuruhusu mfumuko wa bei na kuhakikisha umeme unakuwa wa mgao ili mijitu ka wewe utaabike. Acha kabisa viongozi waibe na kijineemesha maana siku wakitoka madarakani jitu ka wewe utaaanza kuwacheka hahaha ila wakiwa na hela utaendelea kuwa mtumwa wao maana utajisogeza kusifia ili japo upate msosi na hii itaendelea kizazi na kizazi
Hakika.Huyu maza kama ana akili, asigombee 2025...ntamuheshimu
Au arudi zake nyumbani akagombee huo Urais! Naamini huko atashinda kwa kishindo.Huyu maza kama ana akili, asigombee 2025...ntamuheshimu
Uko sahihi Mkuu tumekuwa Taifa la Wasaga kunguni wasiojua wanataka nini.Kuwa Rais Taifa hili la wajuaji na wapigaji ...bila kupiga watu risasi wala kuteka wala kuzuia Bunge live...wala kuongea bila kufoka foka na kuwatishia watu na kufungia magazeti ....basi hapo Mungu kakupa karama kubwa Sana
Jamii iliyokuwa imeharibika bado inataka mtu wa matusi kwenye jukwaa.Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.
Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.
JPM alikuwa anasikiliza wananchi na kelo zao kisha anatoa maelekezo kwa wasaidizi wake. Ziara za JPM zilikuwa na watazamani mamilioni.
Leo ziara ya samia imejazwa na mabango ya wakulima ili kumjibu bashiru.
SAMIA shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.
Ndiyo sababu kwa sasa watu wanaiba kwa sababu jinga ka wewe hamna shukrani. Ni bora kujichumia chako mapema, na mi nawapongeza sana viongozi maana jitu ka wewe eti unalitetea maendeleo hahahahaSerikaki ya jpm na genge lake ndio ilikuwa ya kifisadi kuliko zote
Wacha waibe wewe roho inakuuma nini? Ni vyako kwani?Ndiyo sababu kwa sasa watu wanaiba kwa sababu jinga ka wewe hamna shukrani. Ni bora kujichumia chako mapema, na mi nawapongeza sana viongozi maana jitu ka wewe eti unalitetea maendeleo hahahaha
Na tukishampata huyo tuanaanza kulialia kuwa hafai ni Dikteta uchwara tunataka Raisi anayefuata Utawala wa Sheria.Jamii iliyokuwa imeharibika bado inataka mtu wa matusi kwenye jukwaa.
Hotuba za kiwerevu ndiyo zipi? Zile za kusema "Baki na mavi yako nyumbani"? Ndiyo mnataka?
Uwezo wenu wa kufikiri umeathiriwa na dikteta wa Chato. Go to hell as well
Tunataka maendeleo acheni kumjaza Mama confidence ambazo hazipo. Maoni yako yamebadilika sana siku hizi. Uko upande wa Utawala pendwa. You are no longer objective at all....Kuwa Rais Taifa hili la wajuaji na wapigaji ...bila kupiga watu risasi wala kuteka wala kuzuia Bunge live...wala kuongea bila kufoka foka na kuwatishia watu na kufungia magazeti ....basi hapo Mungu kakupa karama kubwa Sana
Endelea kulamba asali taratiiiiiibuNchi ni taasisi, ulitaka akabebe zege kule SGR? Afokefoke kama yule chizi?
Kwani huyo unayemsifia alikuwa maskini? Maskini anamiliki Mayanga Constructions na hotel kibao? Kwanini mnapenda mtu anayewadanganya? Kwanini hamjifunzi hapo Kenya tu kwenye uteuzi wa Mawaziri wao?Ndiyo maana serikali inawakomesha kwa kuruhusu mfumuko wa bei na kuhakikisha umeme unakuwa wa mgao ili mijitu ka wewe utaabike. Acha kabisa viongozi waibe na kijineemesha maana siku wakitoka madarakani jitu ka wewe utaaanza kuwacheka hahaha ila wakiwa na hela utaendelea kuwa mtumwa wao maana utajisogeza kusifia ili japo upate msosi na hii itaendelea kizazi na kizazi
Wacha kupiga mayowe......wacha wayaone wenyewe.....[emoji444][emoji445][emoji446][emoji448][emoji442]Huyu maza kama ana akili, asigombee 2025...ntamuheshimu
Bora zile hotuba huku maji yanatoka na umeme haukatiki katiki hovyo.Jamii iliyokuwa imeharibika bado inataka mtu wa matusi kwenye jukwaa.
Hotuba za kiwerevu ndiyo zipi? Zile za kusema "Baki na mavi yako nyumbani"? Ndiyo mnataka?
Uwezo wenu wa kufikiri umeathiriwa na dikteta wa Chato. Go to hell as well