Ukisikiliza Hotuba za Samia ukalinganisha na Mwendazake utagundua uongozi ni karama

Ukisikiliza Hotuba za Samia ukalinganisha na Mwendazake utagundua uongozi ni karama

Maji na umeme ndo tatizo tu, yakishatatuliwa hayo samia mpaka 2045 na kura yako anayo. JPM harudi.
Hawezi kitatua huyu.

Lambda aongeze TOZO tu waendelee kulamba asali.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Akishika mic kuanza kuzungumza ukiangalia sura za Raia unaona hamu ya kusikia jambo kutoka kwake.

Wanamsikiliza ila mwisho wa siku unakuta wamekata tamaa baada ya kutopata walichokua wanakisubiri.

Iko hivyo hotuba zote.

Hotuba zake zinazungumzia mambo rahisi rahisi tu katika namna rahisi ambayo kwa nafasi yake haipaswi kuwa hivyo.

Anapaswa kuaddress challenges za wananchi wake na kuja na solution.

Hiyo ndio kazi yake. Ndio maana anachukua mshahara posho marupu rupu.

Na ili kumsaidia kazi zake akapatiwa wasaidizi katika kila eneo na wote pia wanalipwa vizuri tu.

Sasa sisi wananchi tusipopata huduma yake nzuri tuna haki ya kumhoji muda wowote ule.
 
Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.

Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.

JPM alikuwa anasikiliza wananchi na kelo zao kisha anatoa maelekezo kwa wasaidizi wake. Ziara za JPM zilikuwa na watazamani mamilioni.

Leo ziara ya samia imejazwa na mabango ya wakulima ili kumjibu bashiru.

SAMIA shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.
Chakufahamu zaidi ni Kwamba Wanawake bado sana kwenye uongozi
Maamuzi ya Kiume hawana

Hata akishituka hana alternative
 
Huyu Samia ana chini ya miaka miwili tangu awe Rais, JPM kakaa miaka 6, hana alichofanya
Ndo maana mnashindwa kuongoza nchi mnaiacha tu ikupeleke.. mnaanza kusongizia Mungu kila kitu.

Mungu kaweka maji chini ya ardhi na juu ya ardhi lakini mmeshindwa kuyachimba na kuyasambaza. Ange kuwa JPM watu wangechimba usku na mchana. Hakika tutamkumbuka.
 
Yalinikuta siku niliyoamua kuhudhuria mkutano wake live, hii nchi ni ngumu sana aisee.

Kumbe kuongea acha tu kuchekesha watu, kuongea ni kipaji.
 
Kuwa Rais Taifa hili la wajuaji na wapigaji ...bila kupiga watu risasi wala kuteka wala kuzuia Bunge live...wala kuongea bila kufoka foka na kuwatishia watu na kufungia magazeti ....basi hapo Mungu kakupa karama kubwa Sana
Haya huo unyororo wa sauti ya mama yako nchi inakwrnda kombo
 
Mbona mama anaandamwa hivi jamani? Ukiwa kiongozi yakupasa uwe na ngozi ngumu na uvumilivu wa hali ya juu, vinginevyo utajikuta umekuwa dikteta wakati mwingine bila kupenda.

Kuna raia wao kazi yao ni kuponda tu. Ufanye vibaya utasakamwa tu, ukifanya vizuri pia hautanusurika kusakamwa!
 
Mbona mama anaandamwa hivi jamani? Ukiwa kiongozi yakupasa uwe na ngozi ngumu na uvumilivu wa hali ya juu, vinginevyo utajikuta umekuwa dikteta wakati mwingine bila kupenda.

Kuna raia wao kazi yao ni kuponda tu. Ufanye vibaya utasakamwa tu, ukifanya pia hautanusurika kusakamwa!
Anazingua
 
Mama hana tone ya urais ndio maana wasaidizi wake wanamchukulia poa
 
Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.

Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.

JPM alikuwa anasikiliza wananchi na kelo zao kisha anatoa maelekezo kwa wasaidizi wake. Ziara za JPM zilikuwa na watazamani mamilioni.

Leo ziara ya samia imejazwa na mabango ya wakulima ili kumjibu bashiru.

SAMIA shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.
Nakazia "MWEUPE PEEE, PEEE, PEEE".
 
Mama anaupiga mwingi ila akumbushwe kutatua changamoto haraka sana hili litampa heshima za juu zaidi ya sasa. Changamoto kama umeme,maji, bei za vitu muhimu, bei za bando zinapanda kihuni tuu kila mwezi zinapanda kimyakimya. Nape yeye anajua kwenda kwenye reception parties za 5g badala ya kuwaeleza washushe bei. Barabara mambo mengi lakini style ya mama ni kuwasukumia wasaidizi wafanye wakati yeye ndio imperial prezidaa u know omega one.
 
Rais anakazi gani sasa.. na hili mkalitazame.

Dar haina maji miezi miwili sasa. Umeme ndo usiseme.. bando halijulikani bei..kila siki ninapanda tu.
Ivi ni chanzo kipi cha maji ambacho alianzisha jiwe na samia akakihujumu ili tumhukumu kwa uzembe?? Jiji la dar miaka yote najua chanzo cha maji ni Ruvu, last week nilipita pale nilikuta mto ule hauna maji(ktk miaka yangu karibu 30 tangu nipite pale mara ya kwanza mwaka 1994 sijawahi kukuta ule mto umekauka). Sasa samia anahusikaje na kukauka kwa mto? Nyie sifieni ujinga tu, subirini muone Rufiji itakavyokuwa 3-5 years to come,
 
Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.

Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.

JPM alikuwa anasikiliza wananchi na kelo zao kisha anatoa maelekezo kwa wasaidizi wake. Ziara za JPM zilikuwa na watazamani mamilioni.

Leo ziara ya samia imejazwa na mabango ya wakulima ili kumjibu bashiru.

SAMIA shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.
Karama?Karama ipi?Au maana ya karama ilirekebishwa bila taarifa?Karama ni kuongea kwa kufoka,kutukana,kudhalilisha,pupa,kujikweza na kutoa vitisho?Kuna tatizo sehemu katika kutafsiri mambo au kumuelewa mtu ili akidhi kundi limfaalo.
 
Kunatofauti kubwa sana kati ya rais aliyechaguliwa na wananchi na yule aliyerithi madaraka.Anayerihi madaraka anakuwa Hana uwezo wa kutatua changamoto kama aliyechaguliwa na wanannchi
 
JPM alikuwa populist, propaganda nyingi, lakini hamna lolote la maana
Ukweli ni huu:
JPM aikuwa na vision na alifanya makubwa Kwa muda mfupI.

JPM alikuwa katili

Huyu mama labda ni mwema kuliko JPM, lakini kusema ati ana fit kwenye urais kama magufuli, hapana.

she is Ms Zero like Mr. Zero aka Vasco Dagama JK
 
Back
Top Bottom