Ukisikiliza Hotuba za Samia ukalinganisha na Mwendazake utagundua uongozi ni karama

Ukisikiliza Hotuba za Samia ukalinganisha na Mwendazake utagundua uongozi ni karama

JPM alikuwa populist, propaganda nyingi, lakini hamna lolote la maana
Mpaka sasa CCM inatembelea nyota ya Magufuli,huyo mnayemdharau!
Mama yako anatembelea nyota ya Magufuli.
Wana CCM hamna shukurani mpo kama ma m**a fulani hivi.

Miradi yenye Tija na inayoonekana nchini ni ya JPM!

Kuanzia Ndege,Helikopta za Jeshi,Masoko ya kisasa,Stand za kisasa,Madaraja kama wami na Tanzanite la Dar es Salaam, Bwawa la Nyerere,SGR, Meli mpya Lake victoriana Lake Nyasa,na hata Uwanja wa Chato ambao ki Usalama ndio unapaswa kuwa uwanja salama zaidi kwa wana Kagera.

Mifumo mipya na ya pamoja ya ulipaji serikalini,alipunguza Matumizi ya ovyo ya serikali,alipunguza vyeti feki kama chiembe
Aliondoa watumishi Hewa!
Alikomesha hujuma za Tanesco!
Alilifufua shirika la Reli!
Aliwaweka Mafisadi wa CCM kushoto na chama kikawa ahueni kwa wanyonge!

Sasa mmerudi kwa kasi ya 4G na CCM itawafia mikononi!

Time will TelllView attachment 2424636
FB_IMG_1669094938196.jpg
 
Ndiyo maana serikali inawakomesha kwa kuruhusu mfumuko wa bei na kuhakikisha umeme unakuwa wa mgao ili mijitu ka wewe utaabike. Acha kabisa viongozi waibe na kijineemesha maana siku wakitoka madarakani jitu ka wewe utaaanza kuwacheka hahaha ila wakiwa na hela utaendelea kuwa mtumwa wao maana utajisogeza kusifia ili japo upate msosi na hii itaendelea kizazi na kizazi
Well said,Plain Truth!
 
Back
Top Bottom