chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Kwani matokeo anatangaza nani? Mbowe?Unadhani hilo linawezekana?
Dawa ni kuhamasishana kutompatia kura mgombea yeyote wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani matokeo anatangaza nani? Mbowe?Unadhani hilo linawezekana?
Dawa ni kuhamasishana kutompatia kura mgombea yeyote wa ccm
Kama Keri zipi alizokuwa anasikiliza huyo jpm wako?Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.
Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.
JPM alikuwa anasikiliza wananchi na kelo zao kisha anatoa maelekezo kwa wasaidizi wake. Ziara za JPM zilikuwa na watazamani mamilioni.
Leo ziara ya samia imejazwa na mabango ya wakulima ili kumjibu bashiru.
SAMIA shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.
ZittoKwani matokeo anatangaza nani? Mbowe?
Huyu Samia ana chini ya miaka miwili tangu awe Rais, JPM kakaa miaka 6, hana alichofanyaRais anakazi gani sasa.. na hili mkalitazame.
Dar haina maji miezi miwili sasa. Umeme ndo usiseme.. bando halijulikani bei..kila siki ninapanda tu.
Mwishowe utabakia wewe tu wa kumpinga JPM, endelea tuone utaishia wapiJPM alikuwa populist, propaganda nyingi, lakini hamna lolote la maana
Teh! Tehe!Huyu Samia ana chini ya miaka miwili tangu awe Rais, JPM kakaa miaka 6, hana alichofanya
Zinaenda kufanya Kazi gani, ikiwa Kabla ya huu mkopo tumekuwa na mkopo wa 20t, na hatuna maji, hatuna umeme, na miradi iko vilevile!!
Ashituke nini sasa? Kwani ana ubongo?shituka, huku unakotoka wananchi wanabaki wanakuona mweupe peee.
Yeah, ni kweli wafanye kubadilishana na Dr. Mwinyi ili wa Bara arudi kwao na yeye aende kwao!Au arudi zake nyumbani akagombee huo Urais! Naamini huko atashinda kwa kishindo.
Kamata zote ziende Serikalini, si hayupo? Unaogopa nini?Lile ghorofa la Makonda alilokuwa anagombea na gsm alilipata wakati wa utawala wa nani? Yale magari ya kuzulumu? Sabaya je? Ditto James? Mfugale? Wakulima wa korosho? Tenda za kununua ndege ?....Kaa kimya, usiwe kama zuzu
Akili aitolee wapi? Ujinga mtupuHuyu maza kama ana akili, asigombee 2025...ntamuheshimu
Ukitaka tutaje ya awamu hii semaLile ghorofa la Makonda alilokuwa anagombea na gsm alilipata wakati wa utawala wa nani? Yale magari ya kuzulumu? Sabaya je? Ditto James? Mfugale? Wakulima wa korosho? Tenda za kununua ndege ?....Kaa kimya, usiwe kama zuzu
Mpumbavu wewe! Ina maana mgao wa umeme hauoni? Mgao wa maji? Unadhani wananchi hawastahili majibu kuhusu bidhaa kupanda bei? Unaongea ujinga wako hapaJamii iliyokuwa imeharibika bado inataka mtu wa matusi kwenye jukwaa.
Hotuba za kiwerevu ndiyo zipi? Zile za kusema "Baki na mavi yako nyumbani"? Ndiyo mnataka?
Uwezo wenu wa kufikiri umeathiriwa na dikteta wa Chato. Go to hell as well
Haupigi watu risasi lakini masikini wanakufa njaa na watu wanakufa kwa kukosa madawa kwa upuuzi na uzembe wako! Hauongei kwa kufoka lakini pesa ambazo zingeenda kuokoa maisha ya wagonjwa muhimbili zinaliwa na laana yao ni juu yako! Unaongea Ujinga gani?Kuwa Rais Taifa hili la wajuaji na wapigaji ...bila kupiga watu risasi wala kuteka wala kuzuia Bunge live...wala kuongea bila kufoka foka na kuwatishia watu na kufungia magazeti ....basi hapo Mungu kakupa karama kubwa Sana
Lilikuwa gaidi na hainiJPM alikuwa populist, propaganda nyingi, lakini hamna lolote la maana
Mlamba asali mwandamizi.. umeamka. Nauli mmepandisha, TOZO mkaweka.. bado mambo hayaendi. Hata umeme mmechukua.. watu wanakufa kwa kukosa huduma mhimu.. mtu anaenda hospital kufanyiwa operation unakuta umeme hakuna na Maji hakuna.Maji hayatoki na umeme hakuna lakini tunaishi kwa amani na hakuna mtu amekufa including wewe JF Member
Endelea kuungua na moto Magufuli