hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
JPM alikuwa populist, propaganda nyingi, lakini hamna lolote la maana
Yamaana yapo mengi sana tena mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM alikuwa populist, propaganda nyingi, lakini hamna lolote la maana
Sijamsifia kiongozi mi nimesemea tabia za baadhi ya watanzania kama wewe ambao mtu akiwa kiongozi mnategemea awe mwizi na siku akiachia madaraka na akiwa hana hela mnaanza kumcheka eti mjinga kwa nini hakuiba etc. Acha viongozi wawe wezi kwa sababu ya mijitu yenye akili finyu kama wewe, yaani waibe kabisa na kujineemesha na familia zaoKwani huyo unayemsifia alikuwa maskini? Maskini anamiliki Mayanga Constructions na hotel kibao? Kwanini mnapenda mtu anayewadanganya? Kwanini hamjifunzi hapo Kenya tu kwenye uteuzi wa Mawaziri wao?
Hao wote walijipatia hizo mali sawa ila..Lile ghorofa la Makonda alilokuwa anagombea na gsm alilipata wakati wa utawala wa nani? Yale magari ya kuzulumu? Sabaya je? Ditto James? Mfugale? Wakulima wa korosho? Tenda za kununua ndege ?....Kaa kimya, usiwe kama zuzu
Alikuwa kitisho kwa wajinga, wapumbavu na wapinzani koko pekeeJpm alitatua kero zipi badala yake aligeuka kuwa kitisho kwa jamii na taifa
Watu wanataka huduma bora na bei za bidhaa mbalimbali ziwe himilivuUko sahihi Mkuu tumekuwa Taifa la Wasaga kunguni wasiojua wanataka nini.
Tena huyo alitakiwa apigwe risasi hadharani!Jamii iliyokuwa imeharibika bado inataka mtu wa matusi kwenye jukwaa.
Hotuba za kiwerevu ndiyo zipi? Zile za kusema "Baki na mavi yako nyumbani"? Ndiyo mnataka?
Uwezo wenu wa kufikiri umeathiriwa na dikteta wa Chato. Go to hell as well
Huyo unayemsifia hakuiba?Sijamsifia kiongozi mi nimesemea tabia za baadhi ya watanzania kama wewe ambao mtu akiwa kiongozi mnategemea awe mwizi na siku akiachia madaraka na akiwa hana hela mnaanza kumcheka eti mjinga kwa nini hakuiba etc. Acha viongozi wawe wezi kwa sababu ya mijitu yenye akili finyu kama wewe, yaani waibe kabisa na kujineemesha na familia zao
Magufuli alikuwa takataka tu na ndiyo maana Mungu alimkataa.Tena huyo alitakiwa apigwe risasi hadharani!
Yani unapata nafasi ya kueleza kero yako kwa rais alafu unaleta habari ya kutaka sehemu ya kunya? Pumbavu kabisa.
Yule alikuwa rais siyo haya mataputapu.
Maji na umeme ndo tatizo tu, yakishatatuliwa hayo samia mpaka 2045 na kura yako anayo. JPM harudi.Bora zile hotuba huku maji yanatoka na umeme haukatiki katiki hovyo.
Alikuwa taktaka kwa wapumbavu, wajinga na wapinzani koko!Magufuli alikuwa takataka tu na ndiyo maana Mungu alimkataa.
Unadhani hilo linawezekana?Huyu maza kama ana akili, asigombee 2025...ntamuheshimu
HagombeiHuyu maza kama ana akili, asigombee 2025...ntamuheshimu
Ongezea na ujenzi wa uwanja wa ndege chato akuna anaejua tenda Ile mpaka Sasa.Lile ghorofa la Makonda alilokuwa anagombea na gsm alilipata wakati wa utawala wa nani? Yale magari ya kuzulumu? Sabaya je? Ditto James? Mfugale? Wakulima wa korosho? Tenda za kununua ndege ?....Kaa kimya, usiwe kama zuzu
Mfumuko wa bei unaitesa Afrika na Dunia kwasasa.Watu wanataka huduma bora na bei za bidhaa mbalimbali ziwe himilivu
He was a populist somehow...JPM alikuwa populist, propaganda nyingi, lakini hamna lolote la maana
Hahitaji kuwa na karama hata mimi naweza kuwa rais katika taifa hili, ni kuachia tu nchi ijiendeshe yenyewe yani kama rais hayupo vile na kisha nahakikisha hakuna wa kunikosoa hadharani na wakati huo kuna wenye kunisifia naupiga mwingi.Kuwa Rais Taifa hili la wajuaji na wapigaji ...bila kupiga watu risasi wala kuteka wala kuzuia Bunge live...wala kuongea bila kufoka foka na kuwatishia watu na kufungia magazeti ....basi hapo Mungu kakupa karama kubwa Sana