Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

chang'ombe ipi mkuu.
 
Mie nataka kilichopimwa pia naogopa madalali Sana Bora kampuni inayojulikana, asante kwa maelezo mazuri
 
Ni wazi wachangiaji wengi wanapasikia tu Kigamboni kama kawaida ya wabongo mpe heading mengine atajazia.
Ila mimi maeneo kama hayo ya kigamboni ndio nayapenda,maisha ya uswahili yalishanishinda.

Sema nini serikali ingekufanya kuwe jiji jipya la kitalii kama vile Eco tlantic ya Lagos kungenoga sana
 
Mie nataka kilichopimwa pia naogopa madalali Sana Bora kampuni inayojulikana, asante kwa maelezo mazuri
Vilivyopimwa pia vipo, ukiwa tayari nijuze ufike manispaa uangalie wapi patakufaa au waweza pata vile viwanja vya makampuni
 
Dea si mtafute hata Lodge au hotel, au mtakua na mda mwingi San wa kuishi?
Ndo home halafu Kuna watu wana tabia ya kupenda kipya kila kitu, akibadili life style anabadili vingi vinavyomzunguka, makazi, usafiri nk
 
Tatizo la huko ni wezi. Kuna wizi sana wa kuvamia usiku huko Kigamboni. Wenye pesa zao wanalazimika kuweka electric fence na makamera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…