Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

Kigamboni sio Dar
 
Mbezi malamba mawili is better,karibu na bus terminal,karibu na airport,beach aziko mbali kihivyo,kigamboni ukitaka uione chungu uwe na safari ya mkoani kwa zile gari zinatoka saa 12 asubuhi ndio utajua haujui!
 
Unatufokea?!! Sister du huwezi kukaa huko. Hakuna Kidimbwi,Samaki samaki. Wapangaji wengi wa Kigamboni ni wafanyakazi wa makampuni za mafuta,bandari,serikali kabla ya kuhamia Dodoma na wanafuzi wa IFM,TIA,Mwl Nyerere.
😂😂😂😂Siwafokei bhana,hata Mimi Ni mmoja Kati ya makundi uliyotaja.Kuhusu bata mbona hata huko Kuna Pwezapweza,Cape joint,mmeongezewa na cape Giant na Nolasco.... Yaani huko kuzuri kwenda beach tu sio kukaa pamepoaa....
 
😂😂😂😂Siwafokei bhana,hata Mimi Ni mmoja Kati ya makundi uliyotaja.Kuhusu bata mbona hata huko Kuna Pwezapweza,Cape joint,mmeongezewa na cape Giant na Nolasco.... Yaani huko kuzuri kwenda beach tu sio kukaa pamepoaa....
Duh mbona unavijua viwanja kama mkazi?!
 
Mbezi malamba mawili is better,karibu na bus terminal,karibu na airport,beach aziko mbali kihivyo,kigamboni ukitaka uione chungu uwe na safari ya mkoani kwa zile gari zinatoka saa 12 asubuhi ndio utajua haujui!
Siku hizi buses zinaanzia Kigamboni na kurudi zinaleta watu hadi Kigamboni. Wafanyabiashara wanajiongeza.
 
Huko chocho zote nazijua sio viwanja tu hata kwa wahanga maarufu napajua😂😂😂by the way bado nina watu wangu huko wanashindaga pale kwa mwingira so huwa napay visit mara mojamoja
Ukipita huko siku moja nishtue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…