Karibu sana hio address usiiuze....na zama hizi Dege eco village inamaliziwa tunasogea maeneo hayo kudaka fursa tunaacha wengine wachangamshe vidole kwenye keyboard.
Kuhama au kuhamia??[emoji849][emoji849]Vibaka vibaka, wezi na kaka zao majambazi wengi wameshapigwa vyuma [emoji379] na askari.. Ni watoto waliotoka mbagala, Kinondoni na maeneo memgine, ndio walianza kuleta usela mavi.
Nipo kigamboni toka 2000 mwishoni nikitokea kurasini.. Huku maisha yalikuwa shwaari kabisa unaanika hadi nguo na unazikuta asubuhi, walivyoanza kuja watu mbalimbali wakaanza kuharibu mji, ila sasa hali shwaari kabisa, mtaani si chini ya watoto 5 wamekula vyuma.. Kumepoa kinyama.
Hakuna sehemu kuna kosa kero..
Ila yoote kwa yoote kigamboni kuhama inataka moyo saana.
Na wakija huku huwa tunawanyoosha kweli kweli na Mademu zao ambao ni wepesi Kweli Kutongozeka na Kutuchojolea ' Vyupi ' vyao ili ' tuwatindue ' vizuri.Afu wanakuja kula bata pande zetu mainland
Sana miguu ya kuku utumbo wa kuku sana tu kama tandika Azimio au kiburugwa kwa Mama TemboWeeeh....!
Kama Manzese...!!!
Kwani TOANGOMA na GOROKA nazo si Kigamboni??? Balaa lake si la kitoto, kuna watu wanaitwa WAMAREKANI WEUSI,,, halafu kuna mwingine anaitwa YESU...Hiyo ilikua zamani sio sasa,gari zinakwenda kibada ,kongowe saivi nyingi tu ,mpaka za kariakoo kupitia darajani
Mkuu achana na hao watoto.Hakuna watu wana insecurities na low self esteem kama wale wanaoamini wanatakiwa kuishi sehemu flani, kuongea kinamna flani, ku hang out na watu flani na kutembelea sehemu flani ili waonekane kama watu flani..
nipo deeply sorry for these miserable human beings who seek external acceptance and approval to feel good or confident about themselves. Really sad π’π’!!..
kusarawe anazing sana, ile milima na uoto wa asili ni bab kubwaMimi Nina commute kutoka Kisarawe wala sitahama
Sana miguu ya kuku utumbo wa kuku sana tu kama tandika Azimio au kiburugwa kwa Mama Tembo
Katika kete nilizocheza vizuri maishani mwangu ni kujenga Kigamboni baada ya kuuza Madale.Ni wazi wachangiaji wengi wanapasikia tu Kigamboni kama kawaida ya wabongo mpe heading mengine atajazia.
oale kwenye msitu wamejaa wananajeshi mkuu hakai kibaka pale.Nawaangalia watu wanaongea tu, Kisarawe hawaijui hawa. TATIZO Usalama wa ule msitu huwa unanipa mashaka sana nyakati za usiku
Kawafundishe mkuuWeeh kumbeee...
Vile wanaishi na bahari nikajua kutakuwa na utumbo wa samaki wa kukaanga, chipsi na mayai ya samaki, vichwa vya samaki na madafu ya kukausha....[emoji39][emoji39][emoji39]
Kumbe vumbi tupuu, acha nikawafundishe kula mbata za madafu na viazi vitamu vya kuchoma kwa majivu ya moto. Halafu wanashushia na supu ya shrimps [emoji39].
Kasie The Foodie.
Hahaha kama fix upo vizuri... Eti masaa matatu... Really!Kabisa kuna foleni si kitoto hasa kwenye pantoni kukaa kwenye foleni wikiendi masaa ma3 kawaida sana